Nimesikia taarifa ya mkemia mkuu wa serikali akisema %49 ya watoto walioko kwenye ndoa si watoto halili wa ndoa, akafika mbali zaidi na kutaja mikio inayoongoza kuhujum ndoa zao akianza na arusha, dar, na mbeya, kitu kilichonipa hasira na kufanya nianze kuwaangulia mala mbilimbili watoto wangu...
Binafs ninakufaham vizuri ndani na nje ya chama, sina wasiwasi na utendaji wako wa kazi, wewe ni mpambanaji wa mda mrefu ukiwatetea wananchi ndani na nje ya chama, nzuri zaidi ni kuwa utafanya kazi na makamanda waamifu kwa wananchi, na watiifu kwa chama na sio wengine ni frenk mwakajoka mbunge...
Kuiongoza Tanzania ni rahisi kama kumsukuma mlevi, watanzania ni watu wa ajabu sana, watu wamekaa vyuoni lakini walichofaidi ni kutoka na makalatasi tu na kakingereza ka uongo na ukweli lakini vichwani hamna kitu, tanzania umeme unakatika mwezi mzima ukiwaka wiki moja wanachangilia na kumpongeza...
Watanzania sijui nani katuloga! tumekuwa wepesi mmo, tumekuwa kama watoto wadogo anachapwa mda huohuo anapewa ziwa ananyamaza, tumekuwa wapole mno kwenye haki zetu wenyewe, umeme unakatika mwezi mzima lakini ukirudi watu tunashangilia na kumpandisha cheo meneja, ebu tubadilike tutazarauliwa...
Unjua kinachofanyika tanzania ni uhaba wa mafanikio, sasa watu tunashangalia dalili za mafanikio kabla ya mafanikio yenyewe, zanzibar ni sehem ya tanzania, zanzibar isipotulia tanzania haijatulia, mgogolo wa zanzibar umefikia pabaya lakini yeye hana habari nao, niseme tu kuwa magufuri ameanza...
Naona wengi mnachangia kwa mihemko ya kisiasa, lakini nieleweke kuwa sijazungumzia habari za kwa mda huu awe amefanya hayo yote, nimezungumza kutokana na sifa anazopokea, nimehofu anaweza akavimba kichwa na kuhisi katufurahisha na kututendea haki watanzania, ikumbukwe kikwete nae alianza kwa...
Nikiri kwamba kaanza vizuri sana lakini bado hajanishawishi, watanzania tunahitaji maisha bora na yenye uhakika, tunataka uchumi wa nchi ukae vizuri, tunataka vifaa vya ujenzi vishuke bei, tunataka pembejeo za kilimo zishuke bei, tunataka vyakula vishuke bei, tunataka mafuta yashuke bei ili...
Lazima Ujue Hatuwezi Tukawa Na Wabunge Wa Aina Moja Bungeni Hilo Litakuwa Sio Bunge, Wabunge Wa Chadema Ni Sawa Na Viungo Vya Mwili Wa Binadam Kila Kiuongo Kinafanya Kazi, Mtu Akikosa Kimoja Tunamwita Kilema, Kwa Hawezi Akafanya Kazi Kwa Ufanisi, Mbeya Sugu Walimwita Mhuni Lakini Ndie Mbunge...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.