Recent content by katitu

  1. K

    JamiiForums Tanzania Naona mpasuko mkubwa wa mahubiri kwenye nyumba zetu za ibada kati ya mashehe, wachungaji/mapadre na Serikali

    Kwani tafsiri ya siasa ni nini.hizo siasa za mapenzi ni zipi au siasa za mashabiki ni zipi.mtupeni kwanza tafsiri ya neno siasa halafu twende pamoja
  2. K

    JamiiForums Tanzania Benki ya Dunia kuikopesha Tanzania Shilingi Trilioni 1.4 kusaidia Ajira ni Pigo jingine kwa CHADEMA

    Siasa za maji taka tuliishazizoea.kwani ni pesa ngapi tunapewa na zinafanya kazi gani.hizo pesa ni chaka la wanasiasa tu kuzipiga na watoto wa wakulima ndo wanaobeba mzigo.
  3. K

    JamiiForums Tanzania Kwahiyo kila mwaka Mungu Yesu anakufa na kufufuka?

    Hivi maana ya adhimisho ni nini!kama hujui usidandie imani za watu wewe kaa na ya kwako.
  4. K

    JamiiForums Tanzania Mtoto wa Rais Samia namsikitikia sana

    Mbona kabla ya mama yake kuwa raisi alikuwa hajulikani na alikuwa haendeshi magari ya kifahari?so waache wafu waseme rasilimali za nchi ya Tanzania zinaibiwa na wanzibari.watanzania tumekuwa wajinga sana.mali zetu zinaibiwa halafu sisi wenye nchi yetu tunaangalia na kushabikia ujinga.tutakuja...
  5. K

    JamiiForums Tanzania Ni kama watangazaji wa vipindi maarufu kwenye haya maredio wamebadilishwa!

    Kwani hao hawawezi kupewa crush program wakaendelea na ajira zao?mbona wenzetu duniani watangazaji wanakuwa na degree zingine kama sheria halafu wanapewa mafunzo maalumu ya uandishi wa habari na utangazaji
  6. K

    JamiiForums Tanzania Wananchi tupatiwe majibu shule inayoezuliwa Kwa ajili ya mwekezaji mmoja.

    Subirini uchaguzi upite akili zitawasogea tu.hata hao akina choice variable,tlatlah NK nao wataguswa tu.
  7. K

    JamiiForums Tanzania IDU tunafatilia njama za kumuwekea Lissu sumu Gerezani

    What do u mean by fool?
  8. K

    JamiiForums Tanzania Wabongo bhana alipojiuzulu Makamu wa Rais Dr Mpango hawakushangaa ila Waziri mkuu Majaliwa kustaafu Ubunge ndio kwao Nongwa!

    Mbatizaji issue si kustaafu bali ni kauli na mara zote kauli huumba.juzi wakati wa bunge alitamka atagombea ubunge lkn ghafla jana kabadili kauli sasa watz lazima wajiulize nini kipo nyuma yake?hata kwa yule ambaye ni wa lebo ya primary lazima awe na maswali ya kujiuliza nini kimetokea?
  9. K

    JamiiForums Tanzania GE2025 James Lembeli kwa awamu nyingine ajitosa kugombea Ubunge Kahama Mjini

    Huyu Mzee bado anauwaza ubunge?kweli bungeni ni patamu.
  10. K

    JamiiForums Tanzania Je Hawa wabunge nao tayari wamechukua form za kugombea?

    Anjelina siyo Angaline
  11. K

    JamiiForums Tanzania Dotto Biteko ndiye Waziri Mkuu ajaye 2025-2030?

    Yeye hiyo competence kaitoa wapi ambayo wengine hawana.sisi wabongo vichwa vyetu ni mazishi.
  12. K

    JamiiForums Tanzania Dotto Biteko ndiye Waziri Mkuu ajaye 2025-2030?

    Tutakuwa na waziri mkuu wa hovyo zaidi katika historia ya nchi hizi.waziri mkuu ambaye ana vinasaba vya nchi jirani kweli watz sisi ni wajinga sana.kwa kweli wacha tu kasimu majaliwa aachie kugombea sababu maccm yalipanga kumdhalilisha.
  13. K

    JamiiForums Tanzania Ugali umetukuza usidharauliwe na mtu yeyote

    Ndo kizazi tulivhonacho cha zero brain.ugali ni chakula kikuu cha waafrika hasa kwa yale makabila yanayochapa kazi kama sukuma,ngoni,nyamwezi,hehe,kurya NK hao uliwaambia wale walio watakushangaa sana.Lkn kwa ndugu zetu wa kihaya,zaramo,nyakyusa,Mweta,makua,NK wao ugali ni RB.nimeishi pale...
  14. K

    JamiiForums Tanzania Rais Samia umekutwa na nini? Je, taasisi kukopa kwa jina lake ndio inamaanisha hilo sio deni la taifa?

    Watalaamu Wataalamu wa uchumi tufafanulieni utaratibu wa nchi zingine za Afrika wao mashirika yanakopaje pesa.je yakilipa yenyewe yataweza kudhibitiwa?kama yakilipa yenyewe hapatakuwa na vurugu kwa maana uwezekano wa mashirika hayo kufa kiurahisi hivyo kupoteza ajira kwa watumishi?
  15. K

    JamiiForums Tanzania Wanawake wangekuwa na uwezo wa kuumba wanaume wao wangewaumba. Ulimwengu wa sasa kuna vita kali sana kati pesa na mwanamke

    Hata sisi tuliona bado hatuna amani ndani ya ndoa zetu.wanawake siku hizi hawana uvumilivu,upendo wao wanapenda pesa na starehe tu.wanaume tunapenda pesa lkn si kama wanawake.tunaoa wanawake ambao hawana kitu lkn ni wanawake wangapi wanawapenda wanaume wasio na pesa?ningekuwa bado kijana...
Back
Top Bottom