Recent content by katichi

  1. K

    Hii tabia ya kuwatenga Watoto wa nje ya ndoa ni mbaya sana, ni kutengeneza sumu kwa watoto

    Ubarikiwe sana Mwamba kwa upendo huo kwanza tu kutambua jema katikati ya mabaya.
  2. K

    Ndoa inaelekea kunishinda

    Possibility ya kukuletea magonjwa ni kubwa, maana kama hajari afya yake hapo uko motoni. Ukweli unauma lakini ni bora usemwe, ni bora kumuepuka kumbuka akikuletea shida au ugonjwa ni hasara yako na ndugu zako. Wapo wanao sema, usifuatilie ukae tu duh! Yaani akuletee magonjwa halafu nini...
  3. K

    Ndoa inaelekea kunishinda

    Vipi kuhusu magonjwa?
  4. K

    Jinsi nilivyonusurika kupata virusi vya UKIMWI

    Pole sana; Machozi yamenitoka kwa kweli.
  5. K

    Mzee hataki mdogo wangu aoe binti aliyelelewa na Single Mother

    Baba Yuko right nimemaliza. Namuunga mkono
  6. K

    Hivi kwanini watu mnaolelewa na ndugu huwa hamna shukrani?

    Fact Sent using Jamii Forums mobile app
  7. K

    Hivi kwanini watu mnaolelewa na ndugu huwa hamna shukrani?

    Well said Sent using Jamii Forums mobile app
  8. K

    Ushawahi kuhisi upo single ndani ya ndoa?

    Umeoongea Point sana kunywa fanta nakuja kulipa Sent using Jamii Forums mobile app
  9. K

    Ushawahi kuhisi upo single ndani ya ndoa?

    Kung'ang'ania ndoa kama mtu hakuelewi ni bora uende utafute maisha yako utakufa kabla ya wakati kwa ujinga wako trust mi huyo sio mana wala baba y'ako Omba divorce hiyo mahari itagawanjwa Sent using Jamii Forums mobile app
  10. K

    Kuwa mkweli. Unabadilisha shuka ya kitanda mara ngapi kwa wiki?

    Mkuu ushaolewa nije kukuposa maana wew unanitosha ila mtoa mada hatoshi kuwa mama wa familia Sent using Jamii Forums mobile app
  11. K

    Ni kitu gani mpenzi wako hakijui kuhusu wewe?

    Haaaa nije nitoe mahari Sent using Jamii Forums mobile app
  12. K

    Mbinu za kupata msaada wa kazi

    Mungu atusaidie hivi kwa mawazo yako hayo na wewe unaweza simama mbele za watu kushuhudia kwamba Mungu amenitendea jambo la ajabu kwa kuniwezesha kupata ajira. Kweli siku ya mwisho ni kilio na kusaga meno badala usimame imara katika maombi Mungu afungue njia za kupata kipato unawaza mambo...
  13. K

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Vipi mkuu mlicheki afya kwanza Sent using Jamii Forums mobile app
  14. K

    Nakwama wapi....?

    Usharudi dar Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom