Gaucho yuko vizuri sana
Lakini tunamsahau kaka yao JJ okocha
Huyu MTU nihatari sana
DUNIA haimzungumzii kwakua tu ametoka bara LA africa
Ila miongoni mwa wafalme wampira huyu jamaa anajua
EXCLUSIVE LEO USIKU KATIKA MICHEZO NA BURUDANI.
Wana- Nkurukumbi Kagera Sugar yawasimamisha Mlinda Mlango Husein Shariff pamoja na Beki wa kati Erick Charles wakiwahusisha na upangaji wa Matokeo kufuatia kipigo cha Mabao 6-2 Kutoka kwa Yanga.
STRAIKA wa Yanga, Paul Nonga amekuwa
akikumbana na ushindani mkubwa ndani ya
kikosi hicho kutoka kwa mastraika wa kigeni,
Amissi Tambwe na Donald Ngoma lakini
uongozi wake wa zamani wa Mwadui FC
wamemfungulia milango kama atahitaji
kurudi kwao.
Yanga ilimsajili Nonga akitokea Mwadui FC
kwa...
BILIONEA KUONGOZA KLABU YA LIGI KUU VODACOM
Mfanyabiashara maarufu wa kiarabu Dk Sulaiman Al-Fahim ametangazwa kuwa mwenyekiti mtendaji wa klabu ya African Lyon ambayo itashiriki ligi kuu ya Tanzania Bara msimu ujao.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na mmiliki wa klabu ya African Lyon, Rahim...
Timu anayoinoa Kocha Selemani Matola
ya Geita Gold Mine imeteremshwa daraja
hadi la pili.
Geita imepatikana katika hatia ya upangaji
matokeo katika mechi yao ya mwisho ya
Ligi Daraja la Kwanza dhidi ya JKT
Kanembwa ambayo pia imeteremshwa
daraja.
Katika mechi hiyo, Geita Gold Mine
ilishinda kwa...
Timu anayoinoa Kocha Selemani Matola
ya Geita Gold Mine imeteremshwa daraja
hadi la pili.
Geita imepatikana katika hatia ya upangaji
matokeo katika mechi yao ya mwisho ya
Ligi Daraja la Kwanza dhidi ya JKT
Kanembwa ambayo pia imeteremshwa
daraja.
Katika mechi hiyo, Geita Gold Mine
ilishinda kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.