zimwi la muungano bado linawatesa CCM mtabanwa mpaka muuongee ukweli lisu unafikili niwa kuchezea hapo bado jusa toka zanzibar naye huyu alipa wabana eti wakaja na hoja kuwa hana mtoto ccm bwana utafikili lidudu limoja linaitwa Eliza boni
HAMY D kesho useme kuwa LIPUMBA AJITOA UKAWA SABABU YA UKABILA WA CDM HII ITAUZA SANA NA HATA PALE LUMUMBA HABARI YAKO ITAPEWA KIPAUMBELE KWENYE GAZETI LA MKAKATI NA UHURU NA UTAPIGA PESA NDEFU RAFIKI ILA UNIKUMBUKE MAKE WEWE HUNAGA SHUKRANI LILE DILI LILOPITA ULIPGA PEKEYAKO WAKATI WAZO ALITOA...
wanaogapa mtaenda kumchangia lowasa mwenye pesa zake wakati nyie mnalalamika hamjapata mkipewa tu mnaenda kujipendekeza kwa lowasa kwa vipesa vyenu vya bagia hivyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.