Wana JF msaada pls natokea kanda ya ziwa nimekuja Dar kikazi zaidi
Natafuta nyumba ya kupanga Maeneo ya Makongo na Survey nitafutrahi sana
Budget : Tzs 300,000-400,000 P.M
Muonekano: Iwe na gate, Maji na umeme...rahisi kufikika barabarani
Vyumba: Master 1,kingine cha kulala,sebure,jiko na...