Ngosha ni noumaa!! Mpaka danguro la Mh wa KUB halipo na madeni juuu, chadema mmebanwa kisawasawa yani uchaguzi ujao sioni mbunge wa chadema wakurudi bungeni labda wa cuf
Chama cha chadema kilianzishwa na Mzee mtei, ni chama cha kikanda, wengi washashindwa akina zitio na Dr slaae. Hicho nichama cha nyumbani ngoja tuone akitoka mbowee atapewa nanii
Huu ni mchezo umechezwa naamini hilo kwasababu hizi, 1. Huyu mama wa yono kasema mda wakulipa hyo asilimia ya awali mpaka jua lizame!! Km ndo hivyo je wamemtiaje rock-up kabla mda wakisheria kuisha? Jibu nikuwa wamemwandaria nafasi yakushinda kesi, 2.km alianza kushinda Nyumba ya kwanza mbona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.