Najaribu kuwalinganisha hawa watu nashindwa kabisa kupata tofauti yao, yaani Zitto Kabwe na Julius Nyerere , similarities zao ni kama zifuatazo
1. Nyerere alizaliwa kijijini butiama mji mdogo amabo kila mtu aliudharau kwa kipindi hicho.
Zitto naye alizaliwa mkoani kigoma ambao...
kwa maana hiyo hawakupigwa?? acha kuwaza kwa kutumia makalio, kupigwa wamepigwa tena na vijna wa red brigedi labda sema red brigade wenu wawe ------------ na ccm
RED BRIGADE WAMPIGA MWENYEKITI WA BARAZA LA WAZEE (CHADEMA) TAIFA!
Vijana wa Red Brigade leo wamevamia mkutano wa viongozi wa Chadema wilaya ya Shinyanga mjini na kuwapiga wajumbe wa mkutano huo na kuwajeruhi vibaya Mwenyekiti wa Baraza la wazee Taifa Ndg Nyangaki Shilungushela pamoja na...
wakati wa vuguvugu la kudai uhuru wa Tanganyika miaka hiyo mwalimu nyerere alizunguka Nchi nzima akihimiza ushirikiano , kilimo , usawa na ustawi wa jamii hasa baada ya uhuru , aliweka matamanio mengi sana kuwa pindi tukipata tu uhuru kila kitu kitaenda kama walivyopanga na watu wataishoi...
likiitishwa baraza kuu CHAGADEMA kaka hawachomoki zaid zaid tutatoka bila mwenyekiti na wote wanaojikopesha ruzuku na wale waliopewa kazi bila cv makao makuu ya chama kwa kazi za uongo na uchonganishi
mmojawapo wa madiwani wa Igunga ni ndugu yangu wa damu , diwani wa jinungu hakuna kitu kama hicho kama tanzania daima wamekosa cha kuandika bora wafunge hilo gazeti lao limekuwa halina tofauti na magazeti ya udaku
Kuna tetezi zinaenea kwa kasi ya ajabu hapa mjini kuwa cc ya CCM inampigia Chupuo comrade@mwigulu nchemba awe waziri wa mambo ya ndani kuchukua nafasi iliyoachwa wazi na Nchimbi , je nini maoni yako??
Kuandamana kutaendelea kuwepo ???
Ubinafsi wa baadhi ya viongozi wa chama makao makuu ya kutumia ruzuku zote bila kujali wilayani na mikoani kunaendeleaje ni swala pia linalokisumba chama changeu ,juzi mwenyekiti wa taifa katoka kumfukuza mwenyekiti wa chadema mkoa wa Mara kisa hafanyi mikutano bila kueleza waliwahi hata...
mtu anayeandaa waraka wa siri ya ushindi anaitwa MHAINI , kwa maana hiyo hata wapinzani wote ndani ya nchi hii ni wahaini maana hata wao wana nyaraka zao za siri kwa ajili ya kuitoa ccm madarakani. Tunahitaji kuwa makini sana na hawa watu maana kama wanafanya hivi na ukiwakosoa unafukuzwa...
Leo nimekaa na kutafakri sana kwenye , nikakumbuka mchezo mmoja gwiji wa barcelona na timu ya taifa ya brazil akijulikana kwa jina la Rivaldo, mambo aliyokuwa anayafanya rivaldo uwanjani kila mtu anayajuwa lakini mashabiki wa timu ya taifa ya Brazil hawajawahi kuaprecciate mchango wake na...
Leo nimekaa na kutafakri sana kwenye , nikakumbuka mchezo mmoja gwiji wa barcelona na timu ya taifa ya brazil akijulikana kwa jina la Rivaldo, mambo aliyokuwa anayafanya rivaldo uwanjani kila mtu anayajuwa lakini mashabiki wa timu ya taifa ya Brazil hawajawahi kuaprecciate mchango wake na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.