Recent content by kashinje masanja

  1. K

    Similarities between Nyerere and Zitto Kabwe

    Najaribu kuwalinganisha hawa watu nashindwa kabisa kupata tofauti yao, yaani Zitto Kabwe na Julius Nyerere , similarities zao ni kama zifuatazo 1. Nyerere alizaliwa kijijini butiama mji mdogo amabo kila mtu aliudharau kwa kipindi hicho. Zitto naye alizaliwa mkoani kigoma ambao...
  2. K

    Mwenyekiti wa baraza la wazee Apigwa na red brigade

    Wamepigwa leo rafiki hotel acha kuwa kama shoga wewe
  3. K

    Mwenyekiti wa baraza la wazee Apigwa na red brigade

    kwa maana hiyo hawakupigwa?? acha kuwaza kwa kutumia makalio, kupigwa wamepigwa tena na vijna wa red brigedi labda sema red brigade wenu wawe ------------ na ccm
  4. K

    Mwenyekiti wa baraza la wazee Apigwa na red brigade

    RED BRIGADE WAMPIGA MWENYEKITI WA BARAZA LA WAZEE (CHADEMA) TAIFA! Vijana wa Red Brigade leo wamevamia mkutano wa viongozi wa Chadema wilaya ya Shinyanga mjini na kuwapiga wajumbe wa mkutano huo na kuwajeruhi vibaya Mwenyekiti wa Baraza la wazee Taifa Ndg Nyangaki Shilungushela pamoja na...
  5. K

    CCM, CUF na CHADEMA

    wakati wa vuguvugu la kudai uhuru wa Tanganyika miaka hiyo mwalimu nyerere alizunguka Nchi nzima akihimiza ushirikiano , kilimo , usawa na ustawi wa jamii hasa baada ya uhuru , aliweka matamanio mengi sana kuwa pindi tukipata tu uhuru kila kitu kitaenda kama walivyopanga na watu wataishoi...
  6. K

    Naomba kuuliza: Baraza kuu la Chadema linaundwa na kina nani?

    likiitishwa baraza kuu CHAGADEMA kaka hawachomoki zaid zaid tutatoka bila mwenyekiti na wote wanaojikopesha ruzuku na wale waliopewa kazi bila cv makao makuu ya chama kwa kazi za uongo na uchonganishi
  7. K

    Mkakati wa Mwigulu Nchemba Igunga kununua madiwani wa CHADEMA wakwama

    mmojawapo wa madiwani wa Igunga ni ndugu yangu wa damu , diwani wa jinungu hakuna kitu kama hicho kama tanzania daima wamekosa cha kuandika bora wafunge hilo gazeti lao limekuwa halina tofauti na magazeti ya udaku
  8. K

    Baraza la Mawaziri: Nani atoke, Nani abaki, Nani aingie?

    Kuna tetezi zinaenea kwa kasi ya ajabu hapa mjini kuwa cc ya CCM inampigia Chupuo comrade@mwigulu nchemba awe waziri wa mambo ya ndani kuchukua nafasi iliyoachwa wazi na Nchimbi , je nini maoni yako?? Kuandamana kutaendelea kuwepo ???
  9. K

    PICHA: Yanayojiri Kigoma katika mapokezi ya Zitto

    Ben Saanane na Mwigulu ndiyo waziri ajaye wa mambo ya ndani sijui utaficha wapi uso wako
  10. K

    Ubinafsi wa Viongozi wa CHADEMA makao makuu

    Ubinafsi wa baadhi ya viongozi wa chama makao makuu ya kutumia ruzuku zote bila kujali wilayani na mikoani kunaendeleaje ni swala pia linalokisumba chama changeu ,juzi mwenyekiti wa taifa katoka kumfukuza mwenyekiti wa chadema mkoa wa Mara kisa hafanyi mikutano bila kueleza waliwahi hata...
  11. K

    Mwigulu amlipua Mbowe bungeni, ni kuhusu kutumia vibaya madaraka yake na hawara

    mbowe ni malaya tu.. kutoka waraka wa mabadiliko 2013
  12. K

    For Critical Thinkers Only: Nini tatizo la Waraka wa Mabadiliko 2013?

    mtu anayeandaa waraka wa siri ya ushindi anaitwa MHAINI , kwa maana hiyo hata wapinzani wote ndani ya nchi hii ni wahaini maana hata wao wana nyaraka zao za siri kwa ajili ya kuitoa ccm madarakani. Tunahitaji kuwa makini sana na hawa watu maana kama wanafanya hivi na ukiwakosoa unafukuzwa...
  13. K

    Taarifa kwa vyombo vya habari

    Niko pamoja na wewe kamanda nyakarungu , lazima wahafidhina watoke
  14. K

    CHADEMA, Kwa hili suala la Zitto mbona hamueleweki?

    Leo nimekaa na kutafakri sana kwenye , nikakumbuka mchezo mmoja gwiji wa barcelona na timu ya taifa ya brazil akijulikana kwa jina la Rivaldo, mambo aliyokuwa anayafanya rivaldo uwanjani kila mtu anayajuwa lakini mashabiki wa timu ya taifa ya Brazil hawajawahi kuaprecciate mchango wake na...
  15. K

    CHADEMA, Kwa hili suala la Zitto mbona hamueleweki?

    Leo nimekaa na kutafakri sana kwenye , nikakumbuka mchezo mmoja gwiji wa barcelona na timu ya taifa ya brazil akijulikana kwa jina la Rivaldo, mambo aliyokuwa anayafanya rivaldo uwanjani kila mtu anayajuwa lakini mashabiki wa timu ya taifa ya Brazil hawajawahi kuaprecciate mchango wake na...
Back
Top Bottom