Hii NCHI ina mambo mengi ya ajabu na kusikitisha sana yumkini kodi za watanzania tunaokaa vijijini tusijue hata tutaamkaje siku ifuatayo kutokana na lundo la kodi kila kukichao. Muhusika aliyeteswa Mabwepande kalianika jina la muhusika walakini asikamatwe waendelee na huyu asiye na hatia huku...
Hii habari imepewa umuhimu kwa kuwa ni aibu kwa taifa juu ya hawa viongozi wetu.
Itafikia pahala picha zao tutaziweka humu ndani ili wana JF waone baadhi ya watunga sera wanavyotia aibu.
:nono: :hurt:
Hivi hatuna sera zinazowabana hawa waheshimiwa kimaadili juu ya hii mambo?
Moja ya speech ya Mwl J.K Nyerere aliwahi kutujuza kuwa kuwa waziri mdogo katika nchi ya Uingereza aliwajibika kujiuzulu ili kulinda heshima juu ya hii mambo. Kwa nini kwetu tusiwe sheria za kuwabana...
Hello!
Marafiki naombeni kusaidiwa kufahamu nini nicheck zaidi.
Nilikwenda hospitali kucheck afya baada ya kuhisi hali ya muwasho kwenye njia yangu ya mkojo na asubuhi nilipokuwa nikiamka niliona hali ya ute kama manii vile ila ute huo haukuwa na harufu. Hii ilikuwa mara ya kwanza kwa tukio ka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.