Recent content by Kasegela

  1. K

    Kipi kianze kati ya Tume Huru ya Uchaguzi na Katiba Mpya?

    Kumekuwepo na mijadala na majibizano mitandaoni kwamba kipi kianze kupatikana kati ya Katiba Mpya na tume huru ya uchaguzi. Chama cha Chadema wao wanataka katiba mpya wakiamini ndio mwarobani wa changamito zinazoikabili nchi yetu. ACT Wazalendo wao wanataka ianze tume huru ya uchaguzi kwanza...
  2. K

    Polepole: Nimeshahojiwa na Kamati ya Maadili ya Chama, hiki ni kikao cha ndani hivyo taarifa rasmi zitatolewa na chama

    Mnakumbuja Siku Polepole na Bashiru wamewaita Kinana,Membe na Makamba? Dunia inaenda kasi sana,miezi minne nyuma polepole alikuwa anahoji wenzake na kuwaonya kwa kejeli leo ni zamu yake kulipa hapahapa Duniani.
  3. K

    Ni suala la muda tu jimbo la Kawe kutangazwa kuwa lipo wazi

    Gwajima anamuhujumu Rais Samia,anasuka mipango na kuendesha vikao vya kuhakikisha Rais Sammia hafanikiwi
  4. K

    Itachukua miaka mingi mno kuja kuwapata ma Rais wa kariba ya Mkapa na Magufuli

    Magufuli unaemsifia huenda wewe ulikuwa mnufaika wa udikteta wake. Alibambikia watu kesi,utawala wake ulifunga minyororo Bunge,Magufuli alitukosea sana Watanzania
  5. K

    Tunausubiri kwa hamu uteuzi wa Wakuu wa wilaya

    Nimemsikiliza yule mwanachi wa Mkoa wa Mara aliempigia simu Mh. DC kwa lengo la kumkumbusha unyama wake. Maneno ya mwananchi yule ndiyo kiu yetu wengi kuona sura mpya kwenye orodha ya wakuu wa Wilaya. Wajinga wote wondoshwe, tuletewe watu smart kama Mama Msimdanganye Mama kwa kuchomeka...
  6. K

    Wanaopinga kuanzishwa mkoa wa Chato hawana hoja

    Mikoa ya kugawanywa kwa sasa ni Tabora,na Morogoro, Geita imekuwa mkoa juzi,haiwezi yena kugawanywa tena. Ukabila na upendeleo kwa sasa hauna nafasi tena
  7. K

    Rais Samia anatuletea Tanzania ya Asali na Maziwa

    Wewe ni muumini wa Ushamba na utekaji,kwa sasa enzi zenu zimekwisha,njia sita tutajenga tena tukiwa na furaha,sio nyie mlionunua ndege huku watu wanavumilia kuitwa Watanzania. Washamba mliogawana vyeo kikabila sasa mwisho wenu umefika, Na kwa taarifa yako Mama tutamuongezea muda ili aijenge...
  8. K

    Kuna muda huwa siwaelewi Watanzania na huenda ndiyo maana baadhi ya Mataifa jirani na makubwa yanatudharau bila Sisi kujijua

    Hao washamba achana nao,ndio walioharibu nchi mpaka tukawa tunadharaulika,Rais Samia anachofanya sasa ndio kazi ya Mkuu wa nchi,Hao walaiozoea kubebwa waache wapige mayowe,sisi tunasonga mbele na kwataarifa yao. Vyombo vya habati vimefunguliwa Bunge limefunguliwa minyororo Na Account...
  9. K

    Rais Samia anayoyafanya yanaimarisha nchi yetu

    Wana bodi. Kama wale watafiti wakija kuwahoji wananchi kuhusu furaha yao kwa sasa,hakika hatutakuwa wa mwisho tena,tutakuwa miongoni mwa nchi tano zenye furaha Duniani. Sasa kwa maoni yangu,Huu muhula Rais Samia kaudakia katikati,lakini ni.moja ya Viongozi bora kuwahi kutokea. Hapendi...
  10. K

    Humphrey Polepole akabidhi ofisi kwa Shaka

    Amekabidhi na V EITE au yenyewe kabaki nayo?
  11. K

    Watendaji wa Kata Manispaa ya Tabora wasitisha ushirikiano na Mkuu wao wa Wilaya DC Komany Kitwala.

    Katika hali ya kushangaza Mkuu wa wilaya ya Tabora Mh.Komanya Kitwala ,aliwaita watendaji wa kata za Manispaa ya Tabora ofisini kwake,baada ya watendaji kufika ili kusikiliza walichoitiwa. Jambo la kushangaza DC kitwala aliwaamuru watendaji kupiga magoti sakafuni. Watendaji wawili walipiga...
  12. K

    Baada ya tetesi za Rais Magufuli kutembelea Mkoa wa Tabora, Mkuu wa Wilaya ya Tabora mjini Komanya Kitwala abadili gia angani

    Kweli kabisa watu hawana huruma,wanamuharibia mwenzao hata kama anachangisha si kwa nia njema? Ukute na yeye anafanya hivo kutetea posho yake isiguswe,sasa mzee akisikia kwamba wilayani kwake kuna michango itakuwaje?
  13. K

    Baada ya tetesi za Rais Magufuli kutembelea Mkoa wa Tabora, Mkuu wa Wilaya ya Tabora mjini Komanya Kitwala abadili gia angani

    Kuna clip nimesikia zinatbea kwwnye magurup ya chama wapambe wa mkuu wa wilaya wanazodoana na wanaompinga Tatizo la tabora ni majungu,lkn tatizo la DC ni ubabe usiokuwa na mipaka.hata katibu na mwenyekiti wa chama hawaelewani
  14. K

    Uchaguzi 2020 Askofu Gwajima: Anayetakiwa kuchechemea ili CCM tushinde, atachechemea...

    Gwajima yupi? Huyu mbaguzi wa kikabila na aliewaahidi waislaam kugeuza Miskiti kuwa sunday school? Hivi mnapoteza muda kujadili mtu mwenye itikadi za kibaguzi?
  15. K

    Uchaguzi 2020 Bila Dkt. Bashiru kuingilia kinachoendelea Tabora Mjini, Jimbo linakwenda Upinzani

    Leo Lissu yupo Tabora Mjini, wakati huohuo kuna mtufuano unaendelea kati ya wana CCM wenyewe kwa wenyewe. Upande mmoja ni CCM uongozi ambao umejiratibu kuanzia ngazi ya tawi hadi Mkoa, upande wa Pili ni Mh.Mkuu wa. Wilaya na Mgombea wake wa Ubunge Bwa. Mwakasaka ambaye wenye CCM yao wanadai DC...
Back
Top Bottom