Sisi watanzania tunaotaka hoja ZENYE MASHIKO tulijunga humu kwa ajili ya kufuatilia,kujifunza na kushiriki katika za kujenga nchi yetu kakini tunaona sasa Jamii forum Siasa inakuwa jukwaa la mashabiki wa Ukawa na CCM , ,WANATUKANANA ,HAKUNA HOJA ILA USHABIKI . WAMILIKI DO SOMETHING TO BRING BACK...