Askofu Bagonza amekwisha kusama "Njia ya uhakika ya kulinda kura yako ni kubaki nayo mwenyewe, ukiitumbukiza kwenye sanduku la kura tu umeibiwa. No Reforms No Election"
haya ndo majibu kutoka AI
Swali lako linaonyesha kutaka kujua faida wanayoweza kupata Chama Cha Mapinduzi (CCM) ikiwa kitapata ushindi kwa njia isiyo ya halali, yaani kwa kuiba matokeo ya uchaguzi. Hii ni mada nyeti na pana, na inahitaji kuzingatia mifumo ya kisiasa, kiuchumi, na kijamii...
Hili suala la kuchangisha walimu mchango wa mwenge limekuwa endelevu Kwa sababu Kila mwaka walimu wanakuwa wakichangia Kwa kulazimisha.
Mbaya zaidi Kila mwaka fedha inakuwa ikiongezeka mfanonkutoka sh. 2000 kwenda sh. 5000. Hapa walimu wanatakiwa kujua nini Kilichosababisha ongezeko hilo.
Hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.