Recent content by Karucee

  1. Karucee

    Sijui nifanyaje: Kuna dada nimempa ujauzito lakini sina mpango nae. Nawaza bwana ake akijua sijui itakuaje

    Ulianza kwa kumsifia ni mzuri , karibia na mwisho unamponda. Nyege mbaya sana pambana na Hali yako.
  2. Karucee

    Kuishi single ni raha

    Kwa uandishi huu baki single.
  3. Karucee

    Nahitaji dawa nzuri ya kusisimua misuli ya uume kusimama mda mrefu bila kumwaga inayopatikana Pharmacy

    Kama ni mchovu ni mchovu tu. Hako madawa ni ka muda tu ebu tafuta mbinu zingine. Kula vizuri, piga zoezi na tafuta hela vijisenti vya kufukuzia warembo visikusumbue akili.
  4. Karucee

    Mke wangu kaacha ndoa yake kisa kazi

    I really hope she is happier where she is. I hope doors open up for her and that she can take care of herself and her daughter to the best of her ability. It is not a crime to want better for yourself. Even at the cost of leaving your own marriage.
  5. Karucee

    Hebu wataje members ambao huwa unalike post/comments zao hata kabla ya kuzisoma

    I am right here dear. Sorry been gone too long
  6. Karucee

    God has not forgotten you

    Kajina tu ndo ka kifirauni, Ila ujumbe mzuri sana. Thank you.
  7. Karucee

    Nahisi maumivu baada ya kugundua viashiria vya Usaliti

    Poor boy. Shida ni kwamba sex umeishusha thamani. You should try treating it as the sacred act that it is.
  8. Karucee

    Nahisi maumivu baada ya kugundua viashiria vya Usaliti

    Ukimvua unakuwa umempunguzia nini?
  9. Karucee

    Mme wako akifa Utaweza kuimudu familia?

    Swali zuri ila kwa siku ya leo, wikiendi, majibu utakayopata ni miksa kasungura, wanzuki na balimi. Vumilia.
  10. Karucee

    TANZIA Dida Shaibu, mtangazaji wa Wasafi FM afariki Dunia

    Mtangazaji asipokuwa na mdomo tena kwenye vipindi vya Uswahili atakuwa anatendea haki kazi yake? Angekuwa anabadili wanaume tu kiholela Bila ndoa hapo ungesemaje?
  11. Karucee

    Vijana wa kiume lazima muelewe kuwa kuna wanawake wanawazidi kwa mbali kiuwezo iwe wa akili, uchumi na maono

    For a woman, it could be a blessing or a curse depending on your surroundings.
Back
Top Bottom