Recent content by KarlMarxG

  1. KarlMarxG

    Muongozo wa kozi ya kuchagua kwa undergraduate mwaka wa masomo (2017/2018)

    Piga shule kuhusu kujikimu ni jinc utavyo kuwa umeji value na umejua kukitumia ulichopata chuo
  2. KarlMarxG

    KIPI BORA KATI YA HIVI?

    Mkuu PhD acha kumix mambo
  3. KarlMarxG

    Najihisi mjinga kukosa chuo

    Mkuu fatilia uzi mmoja hivi unasema *mwongozo wa kuchagua kozi 2018/19* katika round hii ya nne kukosa itakuwa ngumu kama ukifnya maamuzi sahihi na chaguo sahihi
  4. KarlMarxG

    Najihisi mjinga kukosa chuo

    Mkuu competition sasa hivi ninkubwa sana na pia ungetakiwa ucheki hiyo course ilivyokuwa na jam ili uangalie nyingine
  5. KarlMarxG

    Najihisi mjinga kukosa chuo

    Uliomba chuo gani ..? Na course gani..?
  6. KarlMarxG

    Kwanini wahitimu wengi hawana muitikio wa course za Teknolojia mfano Computer Science, Comp Engineering.

    Code sio kitu cha mchezo ukilazimisha huwa hazipandi hata kidogo so inahitajigi kupenda ndio usome bila hivyo huwez kufanya jipya au kusolve matatizo juu ya course hizo
  7. KarlMarxG

    KIPI BORA KATI YA HIVI?

    Ukisema elimu ndogo unamaanisha nn...?
  8. KarlMarxG

    Wakuu naombeni ushauri juu ya course ya Environmental Engineering

    Wakuu kuna mtu anauliza vipi mtu aliye soma CBG anaweza kusoma EE...?
  9. KarlMarxG

    Civil Engineering Special Thread!

    Kwa deep foundation kuna pile foundation & raft or mat foundation so yote yanawezekana kuna moja imetumika kati ya hizi mbili ila pia kama water table ipo juu ndio lazima watatumia pile foundation
  10. KarlMarxG

    Civil Engineering Special Thread!

    Kufeli kwa steel bcoz steel deal with tensile force & concrete deal with compression force
Back
Top Bottom