ANGELOBUSE
Member
- Aug 28, 2017
- 32
- 7
Je ni uelewa mdogo kuhusu hiz course
Au Qualification zake zinawabana?
Au Qualification zake zinawabana?
Hizi kozi usipozisoma kwa kuzipenda utaisoma namba... Kwa kifupi ni kozi nzuri na uzisome kwa kuzipenda na sio kulazimishwa na mfumoJe ni uelewa mdogo kuhusu hiz course
Au Qualification zake zinawabana?
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mwl chenga+ mwanafunz chenga=SUP/cary/disco..
inshot tz hakuna programing n usanii tu.
Upo sahihiMwl chenga+ mwanafunz chenga=SUP/cary/disco..
inshot tz hakuna programing n usanii tu.
Upo very right jembe languCode inategemea na kichwa cha mtu kuweza ku handle logical problems me nilianza code kipindi hicho niko form 2 tangu hapo sikuangalia nyuma tena niliakikisha naingia katika fani hii , so nikakimbilia diploma faster maana sikutaka kwenda kupoteza muda nikajisemea kama nilishapenda kufanya hiki kitu kwanini tena niende kusoma chemistry na masomo mengine wakati nimeshapata something I can and something that I like , so nikaenda diploma nilikua nataka nikasome computer science sema kwa hapa dar es salaam vyuo vikubwa vingi havina kozi ya computer science kwa level ya diploma , hivyo nikaenda computer engineering diploma huko nikasoma mengi tu ambayo nilikua nategemea kukutana nayo , tangu kuingia chuo code hazikuwai kuninyima usingizi wala kunifsnya niwaze maana tulikua tunapiga lab za kutosha sana plus ni vitu ambavyo nilisoma kwa muda mlefu na nilikua na experience , tatizo kubwa ambalo nimekuta watu wanashindwa katika kozi hizi ni kwamba mtu anategemea mwalimu amfanye yeye mtaalamu wakati ku master something you must work hard yourself you must go extra miles , wengine unakuta ni wavivu wanasoma code kama gazeti na kukariri then wanadhani wanajua kumbe hakuna lolote kichwani , siku zote kupata ujuzi kuna hitaji jitihada binafsi me nilikua nakesha usiku mxima kufanya programming na kujifunza kabla sijaanza kufanya project binafsi.
Dah nategemea kuianza open university kwa diploma in computer science, kumbe naweza nikakuambulia ambulia kidogo mkuu wangu kwa ideas ulizonazoCode inategemea na kichwa cha mtu kuweza ku handle logical problems me nilianza code kipindi hicho niko form 2 tangu hapo sikuangalia nyuma tena niliakikisha naingia katika fani hii , so nikakimbilia diploma faster maana sikutaka kwenda kupoteza muda nikajisemea kama nilishapenda kufanya hiki kitu kwanini tena niende kusoma chemistry na masomo mengine wakati nimeshapata something I can and something that I like , so nikaenda diploma nilikua nataka nikasome computer science sema kwa hapa dar es salaam vyuo vikubwa vingi havina kozi ya computer science kwa level ya diploma , hivyo nikaenda computer engineering diploma huko nikasoma mengi tu ambayo nilikua nategemea kukutana nayo , tangu kuingia chuo code hazikuwai kuninyima usingizi wala kunifsnya niwaze maana tulikua tunapiga lab za kutosha sana plus ni vitu ambavyo nilisoma kwa muda mlefu na nilikua na experience , tatizo kubwa ambalo nimekuta watu wanashindwa katika kozi hizi ni kwamba mtu anategemea mwalimu amfanye yeye mtaalamu wakati ku master something you must work hard yourself you must go extra miles , wengine unakuta ni wavivu wanasoma code kama gazeti na kukariri then wanadhani wanajua kumbe hakuna lolote kichwani , siku zote kupata ujuzi kuna hitaji jitihada binafsi me nilikua nakesha usiku mxima kufanya programming na kujifunza kabla sijaanza kufanya project binafsi.
Hili ndio kosa lako la kwanza hata kabla hujaanza kusoma. Yaani mtu wa computer engineering/science au IT unangoja ajira?Upatikanaje wa ajira ukoje
Una data gani za kuprove statement yako?Mwl chenga+ mwanafunz chenga=SUP/cary/disco..
inshot tz hakuna programing n usanii tu.