huyo amewahi kuwa kiongozi katika nyadhifa mbali mbali anafanya vitendo hivyo ,halafu serikali inamlinda mtu kama huyo, huyo amejulikana wazi je, wale wasiojulikana wanafichiana maovu yao huko huko.kwa tanzania hii kiongozi bora alikuwa mwl.julius k.nyerere tu.tumuombe mungu atutolee viongozi...
Nawaomba jeshi la polisi wafanye kazi yao kwa kuhakikisha kichwa, miguu, mikono na kiwiliwili vinapatikana kwa sababu usalama wa raia umo mikononi mwenu. Ili vitendo hivi visiendelee sheria ifuate mkondo wake na watuhumiwa wafikishwe mahakamani na mjue kabisa raisi na waziri mkuu wa nchi...
Uamuzi huo ni mzuri kabisa naunga mkono.udhibiti wa taarifa zisizo na msingi lazima uwepo, hiyo itawarekebisha wengi wawe wanatoa taarifa zenye mantiki na zenye maana.nawashukuru sana kwa kuligundua hilo, nawaomba mfanye utafiti na sehemu zingine ili muweke udhibiti kama huo.
bila chama cha chadema ccm mngetuburuza mpaka tukome, chama cha upinzani kimeleta changamoto na ndiyo maana baadhi ya mambo mmeanza kujirekebisha. Chadema ni kiboko yenu mkizubaa 2015 kitachukua viti vingi zaidi vya ubunge.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.