tusisahau waliompinga mabango mpaka sasa hatuelewi magizo ya kuyangoa yalitekelezeka au yamejaribishwa maisha yanaendelea na kupiga dili za mabango maana alidai fedha hizo haziko wazi.
Wanajamvi heshima kwenu.
Ninaomba kuelimishwa kuhusu waziri mwenye dhamana ya miundo mbinu mhe. John Makufuli kwani anachoamua sicho kinachotendeka kama waziri mwenye dhamana kama kikitendeka hakichui round kinapingwa na watendaji wa ngazi za chini na hata boss wake.
Hebu tujifunze kwa...
Nimekuelewa mkuu kuonea huruma meno yangu.
Eee Mungu epushia Mbali meno, kucha na afya uliyotujalia kudhuriwa kwa kuhoji kama haki yetu dhidi ya watawala na watawaliwa
Wanajamvi
Wageni waalikwa Mwanaharakati Marcus na Ndugu Rodrick wa haki za binadamu. Wameonyesha wasiwasi wao kwa wanaongoza bunge kwani wamefafanua kanuni ziko wazi na kwanini wabunge hawajadili hoja zilizowasilishwa wanajadili interest za chama.
Wamerusha matusi ya Lusinde na wengine...
Karibuni wote mtoa hoja, Wanachama wa vyama wanaopenda na wasiopenda mambo ya USWISS na mzee Mwanakijiji mtuongoze kujadili CD ya USWISS itaimba au itabuma na wote mawazo yako ya hoja ni ya muhimu kwa Tanzania tuitakayo usisite kutupia ili Bungeni kieleweke.
Wanajamvi, heshima kwenu kisima cha mjadala wenye Afya.
Hoja ya kuficha fedha USWISS ilipojadiliwa ili himitishwa pia kwa hoja Serikali ishughulikie, watu wenye ushahidi akiwemo mtoa hoja Mhe. Zitto kuwasilisha nyakara au ushaidi ili kuipa serikali muda wafuatilie Bunge hili ijadiliwe...
Wanajamvi
Nimefika kariakoo saa mbili nimetafuta mitaa yote sijapata nakala ya gazeti la tanzania daima nimeamua kwenda njian kwenye foleni hamna mwenye copy anayeuza nashangaa mwenge nzima hamna nakala.
Nimeamua kulitafuta kupata tamko la chama kwani Jf hawatupatia namba na pia uchambuzi...
hebu tuone wenzetu wanasalimikaje na kadhia hii ambayo haikuwa ndo kawaida ya Tanzania tupia nyingine za kuwafanya wenzetu kuwa na uhakika wa uzima wanapotumikia jamii
mwenzetu anaota mapemaa hii Kiruuuu
hebu wanajamvi wote tukalale nasi tuoteshwe na membe naye aoteshwe kama atachukua form 2015 wengine tuoteshwe maisha bora,nk Mwenzetu kafungua shule leo kawasimamia wototo usafi kajichokea kaoteshwe mishara juu. Jamani tanzania zaidi uijuavyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.