Soma post uelewe usiniite vitu vya ajabu, hayo majina yametofautiana kwenye cheti cha ndoa tu baada ya kuolewa na mkristto. Vyeti vyangu vya kuzaliwa na taaluma vyote majina yanafanana ambayo ni ya kiislam
Hapana nimezaliwa, nimesoma mpk namaliza shule majina yangu ni MWANAIDI JUMA KATANGA lakini nimeolewa kikristo ndo nikabatizwa na kupewa jina la janeth so cheti changu cha ndoa kikaandikwa JANETH JUMA KATANGA…. Sasa nataka kuupdate marital status kwa HR
Dr JF nmembers naomba kusaidiwa mimi vyeti vyangu vya kuzaliwa na shule majina yake ni ya kiislam “Mwanaidi Juma Katani” lakini ndoa yangu ni ya kikristo na majina ya vyeti vya ubatizo na ndoa ni “Janeth Juma Katani”. Sasa nimeshaajiriwa serikalini na nataka nipeleke vyeti vya ndoa kwa afisa...
Kama uko interesred omba MSc. Public Health Research (NM-AIST) dirisha liko open now… then ukishapata admission kuna IHI wanatoa scholarship watakutafuta wenyewe
Hapo huyo dada muongozaji alikuwa mzuri kuliko mpenzi wako. So ni wivu tu ulimsumbua, sisi wadada tukipenda visirani na kununa hakuishi tunahisi tunaibiwa kila wakati na siku tukiacha visirani ujue na upendo umeisha so huyo dada anakupenda. Ila huyo muongozaji hakupendi ni tamaa tu za treatment...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.