kufanya mapenzi na binti aliyechini ya miaka 18 asiye mkeo nikosa la ubakaji, haijalishi ana mtoto au hana haijalishi ni mala ya kwanza au laaa!. Sheria inasema mtoto hawezi kuhiyari kufanya jambo hivyo hiyari yake ni non-sense.
Ukilalamika na kumfungulia kesi ya jinai (wizi wa kuaminiwa) itakuongezea mzunguko mrefu. maana utapaswa kusubiri kesi ya jinai iishe then ukishinda uje utumie hukumu hio kama sehemu ya ushahidi kwenye madai
hapo muhimu fungua madai ili mmalizane mapema uzuri ushahidi upo
kwauzoefu wangu. Huyo kaachwa alikokuwa ametegemea kipindi anakufanyia nyodo na wewe kakufanya dampo.
Mbwa kama hao huwa sinaga huruma nao coz kufanywa second choice inaumizasana. Kwakifupi huyo nishetani katika maisha yako mtibua mambo chichanganye uone. Jamaa analolikubali likimrudia...
bila shaka mwanachuo ni mtu mzima. Hivyo anachokifanya anakitambua. Nivyema mngekubali aolewe tuu kwasababu aliyokuwa akiyafanya alijua matokeo yake.
Kuhusu kuchukua sheria kwa kitendo Cha kupewa mimba. Sheria haipo upandewenu, kwasababu huyo tayari ni mtu mzima na sio mwanafunzi wa sekondari...
kuhusu mahakama wapeleke mahakama ya mwanzo. Ukumbuke kuainisha maombi yako nini unataka mahakama ikufanyie. Mfano fidia, kutoa amri ya kuwataka kuacha mala moja kuingiza mifugo katika eneo lako nk.
swala la ushahidi, unaweza kuita watu waone pindi ng'ombe wanavyoingia katika eneo lako au ukarecord video pindi hao ng'ombe watakapokuwa katika shamba lako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.