Habari, Mimi nikijana naejishughulisha na biashara ya stationery katika mkoa wa Songwe wilaya ya Mbozi . Printer nayotumia nilinunua Kwa mudu inachangamoto ambazo zinaathiri utendaji wangu wa KAZI.
Naomba msaada kama Kuna taasisi au mtu BINAFSI anayoprinter inayofanya KAZI vizuri na kwasasa...
hatua unayoweza kuanza nayo.
Nikwenda mahakani ambako shauri la mirathi lilifunguliwa. Kwakua umesema aliwazungusha naamini unakumbuka baadhi ya mambo ikiwa ni pamoja na mahaka ambapo mirathi ilifunguliwa.
mahakama itakupatia taarifa juu ya mwenendo mzima kuanzia uteuzi ulivyofanyika, mali...
Ndio hukumu itatekelezeka vizuri kabisa. Hicho unachofikiria nijanja ya nyani.
Nikujuze TU kwamba mgawanyo wa mali huangalia mchango wa Kila upande katika kupatika au kuendelezwa Kwa mali husika. Nikweli alikukuta na kiwanja lakini kiwanja kimeendelezwa baada ya wewe kuanza kuishinae na...
ndio mtagawana. Ndio kusudi la sheria ya ndoa kuweka hio kitu inayoitwa dhana ya ndoa. Lengo la kuweka kifungu cha kisheria cha dhana ya ndoa nikulinda haki za watu wawili wanaoishi Kwa pamoja kama mke na mume BILA kufunga ndoa Kwa miaka zaidi ya miwili pindi watakapo amua kutengana.
kwahio...
Kumueleza mkuu wako wakazi nivyema zaidi ili kuwekasawa mazingira yatakayokuwezesha kufwatilia na kutekeleza takwa lako BILA usumbufu na BILA kuathiri KAZI pia,
mgogoro WA familia haungiliani na KAZI. Isipokuwa ukishindwa kujicontrol unaweza kukuathiri kisaikolojia na hivyo kupelekea kuathiri utendaji wako WA KAZI.
1. process ya kwanza nenda mahakamani kaombe mahakama imuamuru mumeo arudishe watoto ukaenao wewe, kwasababu ni chini ya umri wa miaka saba na Kwa maelezoyako wewe ni mama nzuri ambaye unaweza kuwalea pasi kuathiri usitawi wao.
2. omba matunzo ya watoto kwasababu kisheria hususani Sheria ya ndoa...
mkiishi kama mke na mume Kwa zaidi ya miaka 2 na jamii ikawaona na kiwachukulia hivyo mtakuwa mkichukuliwa nikama mke na mume (dhana ya ndoa).
kuhusu mali mlizochuma Kwa pamoja.
kila upande yaani mke na mume mnayo haki yakugawana KULINGANA na mchango mliochangia katika upatikanaji wa mali...
kufanya mapenzi na binti aliyechini ya miaka 18 asiye mkeo nikosa la ubakaji, haijalishi ana mtoto au hana haijalishi ni mala ya kwanza au laaa!. Sheria inasema mtoto hawezi kuhiyari kufanya jambo hivyo hiyari yake ni non-sense.
Ukilalamika na kumfungulia kesi ya jinai (wizi wa kuaminiwa) itakuongezea mzunguko mrefu. maana utapaswa kusubiri kesi ya jinai iishe then ukishinda uje utumie hukumu hio kama sehemu ya ushahidi kwenye madai
hapo muhimu fungua madai ili mmalizane mapema uzuri ushahidi upo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.