Recent content by Karanga Lawfirm

  1. Karanga Lawfirm

    Help Me Understand some minor Details

    see advocate and take deep poll
  2. Karanga Lawfirm

    Kutembea na Binti chini ya miaka 18 aliyekwishazaa ni kosa kisheria?

    kufanya mapenzi na binti aliyechini ya miaka 18 asiye mkeo nikosa la ubakaji, haijalishi ana mtoto au hana haijalishi ni mala ya kwanza au laaa!. Sheria inasema mtoto hawezi kuhiyari kufanya jambo hivyo hiyari yake ni non-sense.
  3. Karanga Lawfirm

    Kisheria ipoje? Deni au wizi wa kuaminika?

    Ukilalamika na kumfungulia kesi ya jinai (wizi wa kuaminiwa) itakuongezea mzunguko mrefu. maana utapaswa kusubiri kesi ya jinai iishe then ukishinda uje utumie hukumu hio kama sehemu ya ushahidi kwenye madai hapo muhimu fungua madai ili mmalizane mapema uzuri ushahidi upo
  4. Karanga Lawfirm

    Hivi inawezekana kupata Mke/Mume mtandaoni?

    unaweza pata mwanamke wakuoa mahali popote.
  5. Karanga Lawfirm

    Kwangu naona sasa mapenzi basi

    acha utoto, utafika mbali take things easy. Sio Kila kitu unajikuta wewe mwamba
  6. Karanga Lawfirm

    Nifanye nini kiwanja changu kiwe na muhuli wa mahakama pamoja na ati miliki?

    umefafanua vzuri. Kama upo Mbeya au Songwe njoo inbox
  7. Karanga Lawfirm

    Hebu naombeni mnipe maoni yenu juu ya hili

    kwauzoefu wangu. Huyo kaachwa alikokuwa ametegemea kipindi anakufanyia nyodo na wewe kakufanya dampo. Mbwa kama hao huwa sinaga huruma nao coz kufanywa second choice inaumizasana. Kwakifupi huyo nishetani katika maisha yako mtibua mambo chichanganye uone. Jamaa analolikubali likimrudia...
  8. Karanga Lawfirm

    Naomba msaada wa Kisheria, ndugu yangu kapachikwa ujauzito

    bila shaka mwanachuo ni mtu mzima. Hivyo anachokifanya anakitambua. Nivyema mngekubali aolewe tuu kwasababu aliyokuwa akiyafanya alijua matokeo yake. Kuhusu kuchukua sheria kwa kitendo Cha kupewa mimba. Sheria haipo upandewenu, kwasababu huyo tayari ni mtu mzima na sio mwanafunzi wa sekondari...
  9. Karanga Lawfirm

    Nifanye nini kiwanja changu kiwe na muhuli wa mahakama pamoja na ati miliki?

    hapo unahitaji mkataba wamauziano ulioshuhudiwa na wakili. Kuhusu hati nenda ofisi za ardhi watakupatia utaratibu
  10. Karanga Lawfirm

    Msaada wa probate citation

    Tupo SONGWE, huduma zetu ni mobile pia popote ulipo tunakufikia
  11. Karanga Lawfirm

    Msaada wa probate citation

    soma section 33(1),(2) na (3). Hasa hasa sub- 3 ya PAEA
  12. Karanga Lawfirm

    Msaada: Je, ninaweza kuwafungulia kesi ya jinai wafugaji wanaochungia mifugo shambani kwangu?

    kuhusu mahakama wapeleke mahakama ya mwanzo. Ukumbuke kuainisha maombi yako nini unataka mahakama ikufanyie. Mfano fidia, kutoa amri ya kuwataka kuacha mala moja kuingiza mifugo katika eneo lako nk.
  13. Karanga Lawfirm

    Msaada: Je, ninaweza kuwafungulia kesi ya jinai wafugaji wanaochungia mifugo shambani kwangu?

    swala la ushahidi, unaweza kuita watu waone pindi ng'ombe wanavyoingia katika eneo lako au ukarecord video pindi hao ng'ombe watakapokuwa katika shamba lako.
Back
Top Bottom