Ndugu wanagenzi Wasalaam, naamini sote tu buheri wa Afya na amani mioyoni mwetu.
Mosi, Kwa Hali ya kipekee namshukuru mwenyezi Mungu mwingi wa Rehema kwa uhai alionipa na amani ya moyo aliyonipa. Napenda kutoa maoni yangu juu ya Kazi alizozifanya Mhe Rais Samia ndani ya Chama na Serikali na...
Would like to Congratulate Government Officials regarding their tirelessly efforts devoted in Addressing different registered Problems/Challenges that CALLS your intervation for furthering and Fostering Country's developments, for this you-deserve immense acknowledgements, However, given the...
Andiko zuri sana hili. nimelipenda. Keep the move.
Only Sky and not Shy is the limit. provided the universe is one. Things will go backforward to backfuture our developments.
Let give Support to this regime to prove to world why they should be granted to rerun in 2025 AGain MoRe.
Rgds...
Na David KAFULILA
KUNA sababu nyingi za kuchelewa kwa LNG yetu kulinganisha pengine na tulivotarajia kama nchi lakn pia kulinganisha na washindani wetu eneo hilo kama Mozambique.
Sababu kubwa kwa maoni yangu mimi ni anguko la bei ya gas duniani kwa karibu muongo mzima. Tathimini ilofanywa na...
Ndugu wanajukwaa salam,
Uongozi wa awamu ya sita Chini ya Mama Samia umeanza kwa kishindo. Hotuba ya kwanza kutolewa na Rais baada ya kula kiapo imebainisha mambo kadhaa.
Mosi, kudumishi umoja, udugu na mshikamano, hii ni kauli ya kwanza kabisa iliyotolewa ambapo alienda mbali zaidi na kusema...
UBORESHAJI WA TARATIBU ZA UNUNUZI NA MWELEKEO WA SERIKALI YA AWAMU YA TANO KATIKA UJENZI WA VIWANDA
Serikali ya awamu ya tano katika siku zake 100 madarakani ilijikita katika kutengeneza mifumo inayopunguza mnyonyoro wa maamzi jambo ambalo lilipelekea pesa za maendeleo kufika kwa wakati na...
Lazima utambue kuwa Kenya kwa Afrika mashariki inafanya vizuri. uchumi wa kenya unategemea sana biashara ya kimataifa. hata hapa kwetu Tanzania Kenya ndio nchi iliyowekeza zaidi kwa takwimu hizi utakubaliana nami kwanini kenya iwe reference yetu kwa nchi za Afrika mashariki.
TANZANIA HAISHUSHWI UCHUMI WA KATI NA TAASISI YA MOODYS. BADO TANZANIA YAIPIKU KENYA!
HOJA TISA (9) KUWEKA SAWA MJADALA RIPOTI YA MOODYS YA AGOST22, 2020
Na David KAFULILA
Baada ya Taasisi ya kimataifa ya MOODYS kutoa ripoti yake jana kuhusu uchumi wa Tanzania kumejitokeza mjadala ambao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.