Nafurahi sana kuona wale waliopotea na kutumikia waovu wanakutana na warekebisha dhambi kama T. Lissu, Dr. Wilbrod, kamanda wa anga mh mbowe n k. Mungu warudishe waliopotea sehemu takatifu na Salama kwa Maendeleo ya taifa
mrema alishawahi kuulizwa na watu wa Vunjo kuwa mbona unaonekana umezeeka utaweza kutuwakilisha bungeni? Akajibu bungeni hakuna kazi ya kubeba zege.
Linganisha Dk. Slaa kwenda ikulu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.