Its too bad kweli had I machoz yalinitoka na nilikua hospital yan kila MTU alisikitika na ukiangalia pale magufuli ndo anacheka Sana'a,yan kwa hili washapoteza kura nyingi sana wao watachukulia poa BT effect take ni kubwa mnoo,viva lowasa
Jamani nilikua naangalia mkutano wa ccm jamani lowasa kadhalilishwa san a na MTU alikua anaimba mashairi yani too bad had uwanja umetulia yan had I machoz yamenitoka HIV kampeni yani hizii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.