Recent content by Kaparare

  1. K

    Sababu plate number za 3D kupigwa marufuku

    Sijui ni nani alianzisha Plate Number za 3D lakini ukweli ni Kwamba Ubunifu huu Ulipokelewa vizuri mtaani kiasi Cha Wabunifu Kuanza kuneemeka utundu wao. Lakini Kabla Asali hiyo haijakolea mdomoni Utamu umeingia mdudu Serikali Kupitia Jeshi la Polisi wamepiga Marufuku matumizi ya Plate Number...
  2. K

    TANZIA Bernard Kamilius Membe afariki dunia

    JPM aliwahi Kusema "No one is Permanent" Na yeye apumzike kwa Amani pia.
  3. K

    Dark days 17/03/20

    He was murdered. Hakuna Siri tena. Ushahidi wa Mazingira unaonyesha. Kuna wanafamilia walitaka kukanusha kwamba mzee hakuwa na Tatizo la Moyo washauri wakapiga stop kwa Usalama wao. Magu alikuwa na Afya imara Sana hata wewe unajua
  4. K

    Dark days 17/03/20

    Nakwenda kulala.. Kesho Asubuhi nawasha data Uongo au ukweli wa Yoga nitaujua nikiamka.
  5. K

    Dark days 17/03/20

    Kama Kuna nchi inaongoza kwa kupiga Mikwara ni Tanzania. Kuanzia viongozi wananchi mpaka Hawa wajuba Feki. Jana Kuna Traffic Police alinisimamisha sehemu kwa mkwara alioanza nao nilijua hata elfu ishirini hachukui aisee Mwishoni akalamba buku tatu. Yoga Mikwara isikutishe Mwishoni hao hao ndo...
  6. K

    Dark days 17/03/20

    Yoga Wafula Chibukati. Hii Maneno unaleta sio ile ulipromise. Wacha kupiga uko umbea na watu wako active wanasubirishia article yako.
  7. K

    Dark days 17/03/20

    Hebu upendezeshe tuone.
  8. K

    Dark days 17/03/20

    Kwa faida ya Nchi Born Town lazima apumzike. Atake asitake. Hakuna kiongozi atafanikiwa kama huyu Bwana yuko hai.
  9. K

    Nataka kuachana na Mwanamke niliyemtolea mahari

    Natafuta watoto kaka. Nipate hata wawili tu basi.
  10. K

    Nataka kuachana na Mwanamke niliyemtolea mahari

    Naoa aisee. Tena Songea. Familia muhimu chief.
  11. K

    Nataka kuachana na Mwanamke niliyemtolea mahari

    Sio kweli labda kama ni Mara ya Urusi. Iko hivi ikitokea mmeachana kama mwanamke hajazaa anatakiwa kurudisha Mali na kitendo hicho cha kurudisha mali kinachukuliwa kama mwisho wa Ndoa hiyo. Endapo amezaa atarudisha nusu ya mali iliyotolewa. So kuachana kupo.
  12. K

    Nataka kuachana na Mwanamke niliyemtolea mahari

    Nilishaachana nae. Nilishtuka. Ila hii Dunia haifai watu wanaweza kukusukuma kwenye Moto kwa kauli ya anafaa.
  13. K

    Nataka kuachana na Mwanamke niliyemtolea mahari

    Nilifanikisha hundred percent.
  14. K

    Dark days 17/03/20

  15. K

    Dark days 17/03/20

    Mbwa waoga wanaorudisha mkia nyuma wameanza kubweka.
Back
Top Bottom