Kama maada hapo juu inavyosema nimeitwa kwenye interview TARURA kada ya Procurement naomba mwenye ufahamu wa kujua huwa interview zao zipoje?
Naomba mnisaidie
Baada ya kuapishwa na kumzika hayati JPM
Mama akamteua VP iyo ikapelekea kuunda baraza lake la mawaziri kwa iyo mbali na mawaziri wengi kubaki na kuweka wachache yeye hakuona umuhimu kwakuwa aliwapitia wote akaona wanafiti,, pili baadae akatangaza Wakuu wa mikoa hiyo yote ni kuweka safu yake...
wizara zipi ambazo zipo dar sasa? pia kuwa na bandari sio sifa,, ndomaana hata hapa dodoma kuna uwanja wa kimataifa wa ndege unajengwa but yote kwa yote ki usalama zaidi dodoma ni sehemu salama kuliko dar
Serikali ya mkoa ingetoa elimu juu ya uvaaji wa barakoa tu ingetosha kabisa lakini kwenye issue ya level seat kwakweli nikuwaonea tu kuanzia abiria, madereva na wamiliki wa vyombo vya usafiri... Mkuu wa mkoa anaishia kutangaza tu kwenye vyombo vya habari lakini ilitakiwa kuanzia huku mtaani...
Samahani Leo nitagusia uchaguzi mkuu wa 2020 hasa nikiangalia ndani ya chama tawala.
Kwanini nasema ccm itapoteza majimbo mengi ya ubunge 2020 ni kwasababu kwanza
1. Kuna wabunge waliohamia kutoka vyama vya upinzani kwenda ccm kuunga juhudi za raisi hawa hawana influence kwa wanachama wa ccm wa...
MSAADA:kwa kwenye uelewa Wa tatizo LA ngiri maji (hernia)
Wana jf
Yapata sasa miaka 4 nimekuwa nikisumbuliwa na ngiri maji (hernia) naomba msaada wenu nini tiba yake
Habari wana JF!
Toka Jana mchana baada ya RC Makonda ku release majina ya watu waliokamatwa na wanaoshutumiwa kwa uuzaji na watumiaji wa madawa ya kulevya kumezuka mjadala mkubwa sana kwenye media na social media kuna wanaompongeza na wanaombeza , lengo la uzi huu ni kujikita zaidi kwa...
Unge kuja hapa na quoted Yangu ambayo nilishawahi kujudge ukabila kwa suala lolote lile ingekuwa vzr ! Otherwise sijawahi kukubaliana na MTU yoyote yule kwenye issue ya kujudge ukabila na kuweka pembeni sifa ya MTU husika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.