Ndg yangu umekimbizwa kutoka msalani au kimekusibu nini hasa hata ukaja na uharo huu?
Hivi Watanzania tutaacha lini kuwa mazuzu?
Ngoja nikusaidie:
Kwanza Clouds Media haijaandaa tamasha la Xmass kama ulivyojaribu kupotosha.
Pili, ni vema ukajua kuwa tamasha hilo limeandaaliwa na Alex Msama...
Nadhani unaugua wewe si bure. Chadema walikuwa na ilani kwani? Uliiona wapi? Ukiondoa Ccm chama kinachofuata kwakuwa na ilani tena ilani ya iliyoandaliwa kisomi ni Act Wazalendo.
Wahuni Chadema hawakuwa na ilani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.