Recent content by KANYEGELO

  1. KANYEGELO

    JamiiForums Tanzania Vita Vya Iran na Marekani: Kipindi Maalum IBN TV

    Hatuna muda wa kustreem
  2. KANYEGELO

    JamiiForums Tanzania Sealing la ufahamu: unaweza kuongeza siti/viti kwenye van bila kuongezewa gharama za ushuru?

    Mi navyofahamu hakuna gharama za ziada ila itakulazimu kupata vibali kadhaaa kama vya latra
  3. KANYEGELO

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Nauza Toyota Verossa (DVH) Tsh. Milioni 6.9

    Hiyo unatumia engine 1G kavu ambayo inakupa fuel consumption Lita 1 km 8 high way inakupa Lita 1 km 11.7
  4. KANYEGELO

    JamiiForums Tanzania Naandika kwa uchungu mkubwa sana: Hii gearbox ya CVT ya Swift inanitesa sana

    Tatizo , hilo linikuta hata mm katika suzuki swift yangu but katika uchunguzi ikabaini center mountain ilikuwa imekatika , lakini engine ilikuwa ....upande badili mountain zote,...!! weka cvt mpya inakaa sawa acha kujipa gharama kubwa
  5. KANYEGELO

    JamiiForums Tanzania Arusha ipo karibu na Nairobi yenye gereji za kisasa; kwanini bado hata matajiri wanasita kununua magari mapya ya Ulaya (0 km)?

    Kuna benz moja ipo pale ngorongoro creater haijawahi kufeli sijui xha sensor inazaidi ya miaka 9 inapiga nzigo inapanda mlima kutokea creater chini kma haijabena watu......gari za mzungu upande wa powe usipime
  6. KANYEGELO

    JamiiForums Tanzania Trekta Massey Ferguson 3080 Power linauzwa Iringa Mjini

    Kwa bei hiyo ford kali sana kutokea uk na chenji inapakia , bei ni kubwa sama ukiongeza almost 5m unavuta john deer mpya
  7. KANYEGELO

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wanangu wa garl sport Tuishi hapa odd mlima B828597
  8. KANYEGELO

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Tia hela acha uwoga ,uwoga wako mdio umasikini wako
  9. KANYEGELO

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Kama una book lako bac tia kwenye huu mkeka
  10. KANYEGELO

    JamiiForums Tanzania BYD Shark 6: Wabongo hawataki Masihara, Mil 170+ kabla ya TRA sio poa!

    Gari za umeme kwenye kodi ni ndogo sana ,haitishi bro
  11. KANYEGELO

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Toyota kluger ya kufugwa inauzwa bei ya kutupa

    Huyo ndio Bei ya kutupa wakati hapo ukiagiza unapata Mazda CX 5 Kali Sana
  12. KANYEGELO

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Haya wazee wa(((( bet pawa ))))tutest mitambo hapa Odd 164 code V6TDG9H💯🥰 (((Sport bety ))))odd 511 code 6TRE8P💯
  13. KANYEGELO

    JamiiForums Tanzania Kanisa Katoliki hapa Tanzania aliyekuwa na hekima kuliongoza ni Askofu Pengo tu wengine ni mipasho tu

    Wewe sio mkatoliki , waliokutumia waambie wameshashindwa TEC ni mpango wa Mungu
  14. KANYEGELO

    JamiiForums Tanzania Screenshot mkeka wako aisee, utakuja kushukuru

    Piga bet nao nimeanza kuwa na wac wac nao Sana wanatabia km hizi, ulizozitaja wanaendesha kimagumash Sana ,ninamkeka umewin yangu mchana 20M lkn team moja mpk muda huuhawasahishamkekauko pending
  15. KANYEGELO

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wale mliopata lost jana bac chukueni hizi odd staje high upate recovery
Back
Top Bottom