Recent content by kanyapa

  1. K

    Kwanini Ushoga unauma kuliko lolote!?

    Ushauri wangu kama wewe shoga acha tabia hiyo au hamiakwenye
  2. K

    Kwanini Ushoga unauma kuliko lolote!?

    dunani kote watu huishi kwa kufuata misingi aidha ya kimira, kidini au kisheria , nchni tanzania Hakuna Mira wala sheria au dini inayoruhusu ushoga au mapenzi ya jinsia moja. sasa wewe unaejiita mtaalamu, msomi dadafua huo huhalali wa huo ushoga unaoupenda wewe umeutoa wapi
  3. K

    Kwanini Ushoga unauma kuliko lolote!?

    nipoiona post yako mwanzoni nilijua umekuja na bonge la ufafanuzi tena wenye maslahi kwa nchi yako, kumbe kesi ya muambukiza marelia amepelekewa mbu!
  4. K

    Staili mpya ya Kampeni yabamba Liwale: Mbunge wa Kuteuliwa Salma Kikwete aomba kura wananchi akiwa amekaa chini

    DU!yaani hapo umewaza hadi mwisho yaani uelewa wako umeishia hapo au
  5. K

    Hama hama ya viongozi inathibitisha tofauti ya mwafrika na mzungu (KIAKILI)

    kaka pamoja na kupata bahati ya kupata uzoefu mkubwa duniani lakini bado umesahau demokrasia ni gharama na uchgauguzi huo hufanyika kwa mujibu wa sheria na sio vinginevyo. Naomba nikukumbushe siasa za tanzania huwezi fananisha na baadhi ya nchi za asia na Ulaya, wao hawaimbi kutokomeza maleria...
  6. K

    Tetesi: Mjumbe wa Kamati ya Uenezi ya CCM Mkoa wa Dar, Frey Edward: Kilimanjaro kuna Wabunge 2, Manyara 1, Dar 2 na Mara 1. Watakuja kabla ya Disemba.

    Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tz inaruhusu mtu kuhama chama au kujiunga na chama chochote anachokitaka
  7. K

    Mbowe ashikiwa bango kutafuna milioni 800 za ujenzi wa ghorofa la Ofisi za Makao Makuu ya CHADEMA

    k Wakati mwingine tuwe tunaelimishana wapendwa, kazi za vyombo vyombo vya habari , ni kuchunguza kuelimisha,kuburudisha na kuiambia jamii nini kinafanyika ndani ya jamiii. Hongera sana waandishi wetu
  8. K

    Mbowe ashikiwa bango kutafuna milioni 800 za ujenzi wa ghorofa la Ofisi za Makao Makuu ya CHADEMA

    h kaka tunataka mwenyekiti atueleze ukweli kwani hiz ni tuhuma nzito kwa kiongozi tunaemwamini na aneyejiita mpigania haki za Wtz
  9. K

    Mbowe ashikiwa bango kutafuna milioni 800 za ujenzi wa ghorofa la Ofisi za Makao Makuu ya CHADEMA

    hongera Mbowe, mm nawashangaa sana wanaokusema nadhani hawajui kuwa CHADEMA ni chama cha Baba Mkwe wako na ni Saccos yako, baba endelea kuzitafuna ila angalia maana ndani ya chama chako wamechoka na huo ulafi wako, jiangalie baba zama hizi sio zileeeeee
Back
Top Bottom