Recent content by Kanyagah

  1. K

    On Channel 10: Mwigulu afunguka juu ya Uzalendo, Gesi Mtwara, Bomu Arusha...

    Ndani ya mwezi mmoja alikuwa kwenye ugaidi, akaenda tindikali, mabomu, gesi mtwara. Anaruka ruka anachosema hakieleweki wala kufanikiwa. Labda ndio ari mpya, kasi mpya na nguvu zaidi wakati hujui unakotaka kwenda ingawa unashangiliwa
  2. K

    On Channel 10: Mwigulu afunguka juu ya Uzalendo, Gesi Mtwara, Bomu Arusha...

    Ni dhahiri kuwa mwisho wenu CCM sasa umefika. ..... kama aina hizi ndio wamekaa viti mbele, ..........basi mtapiga watu wote, mtatumia silaha zote, mtakamata viongozi na kusingizia vyama vyote........ lakini hamtapona. POLENI
  3. K

    CHADEMA tumbo joto, ni kuhusu uhusika wao kwenye mlipuko!

    Pole Simiyu, HIVI huoni? Hayo ndio haswa yaliyotokea bungeni, waheshimiwa wako walitunga mengi, wakaota ndoto, wakajichekesha na kupongezana kwa viwiko. Mbinu mlizotumia kuiua NCCR, CUF zinazidi kukwama ndio maana tunaona jazba za wazee wazima eti 'wapigwe!!!. Maana yake busara...
  4. K

    THE FALL OF CHADEMA - Vyombo vya habari vimeanza kususia Siasa za CHADEMA, Jiulizeni!

    Hasa mnachoshangilia ni kipi ? Kukosa habari za kweli ? POLENI SANA CCM
  5. K

    Pinda: CHADEMA wanatekeleza kauli yao ya nchi haita tawalika

    Hata kwenye nchi ambazo ukikamatwa unahesabiwa kuwa ni mkosaji mpaka itapothibishwa vinginevyo, hakuna sheria wala taratibu zinazoruhusu polisi kuwapiga watu hovyo. Kati ya walioumizwa ni watoto waliokuwa wanajipitia wakitoka madrasa. Sijui ni kipi cha kufurahia au kusifu? Au kwa vile alieuwawa...
  6. K

    Lema na Mbowe wajichanganya

    Kamuulize msemaji wenu CP Chagonja, mtuhumiwa anaetaka kupeleleza kesi inayomhusu.
  7. K

    Lema na Mbowe wajichanganya

    Kamuulize msemaji wenu CP Chagonja, mtuhumiwa anaetaka kupeleleza kesi inayomhusu.
  8. K

    VIDEO: Mwigulu aonya, Arusha wakiikataa CCM watakufa

    POLE SANA unahitaji msaada wa kisaikolojia
  9. K

    VIDEO: Mwigulu aonya, Arusha wakiikataa CCM watakufa

    Tumekuona, Tumekusikia. Ndevu unazofuga na kofia vinafanana kabisa na vya Jonas Savimbi ambae sifa yake kuu ilikuwa kupenda mauaji ya wenye mtazamo tofauti wa kisiasa. Na kwa miaka karibu thelathini alikuwa anavurugu juhudi zozote za kuleta amani Angola. Lakini umeishafuatilia aliishia wapi ...
  10. K

    VIDEO: Mwigulu aonya, Arusha wakiikataa CCM watakufa

    MwanaDiwani unashauriwa pia umsindikize Mwigulu kwa CP Chagonja ili mchango wake/wao katika mauaji ya Soweto, Arusha ueleweke.
  11. K

    Nape: Mlipuko wa bomu la Arusha yawezekana ulipangwa na CHADEMA wenyewe

    Bwana Mdogo Nape, hata kama umeajiriwa kwa ajili ya kusemasema, jifunze kuchagua na kupanga cha kusema. bado una safari ndefu sana maishani na kisiasa, unaanza kuwa kichefuchefu mapema mno.
  12. K

    Nape: Mlipuko wa bomu la Arusha yawezekana ulipangwa na CHADEMA wenyewe

    Mmmh je tutafika kama uropokaji ndio fasheni
  13. K

    Kinana amburuza Msigwa kortini

    Akina Kinana wako wengi ndani ya kichaka chao, CCM. Ndio maana Tanzania yetu haing'oi nanga. Mheshimiwa Msigwa. ujasiri wako ni mwanzo tu.
Back
Top Bottom