Recent content by Kante98

  1. K

    Nipo kwenye ndoa, mume wangu hataki watoto hivyo nikipata mimba natoa kulinda ndoa yangu

    Bebaa mimba Mdadaa uzae utakuja kuzikumbuka baadae hizo.. kipindi unahitaji kwa nguvu. Ni ushauri tu.
  2. K

    Ushauri: X-Girlfriend ananiomba nifunge naye ndoa

    Sifa ya mwanaume ni kuwa na msimamo tu..usimtese binti wa watu ukajitafutia laana bure.
  3. K

    Ushauri jamani,Ni kwa hii Allegy nifanyaje!!

    Ahsante mkuu..nitazitafuta nione zinan saidia je? Najitahidi kuepuka ila mazingira nayo ni changamoto angalau kidogo mvua zinavyonyesha.
  4. K

    Ushauri jamani,Ni kwa hii Allegy nifanyaje!!

    Habari wana Jf!! Nina Allergy na mavumbi je hii hali naweza nikapata dawa ikaisha kabisa.Huwa napiga chafya mnoo mpaka nahisi joto..huwa natumia piritoni lakini hazini saidii kutuliza hali. Ahsante.
  5. K

    Ushauri jamani,Ni kwa hii Allegy nifanyaje!!

    Habari wana Jf!! Nina Allergy na mavumbi je hii hali naweza nikapata dawa ikaisha kabisa.Huwa napiga chafya mnoo mpaka nahisi joto..huwa natumia piritoni lakini hazini saidii kutuliza hali. Ahsante.
  6. K

    Tafakuri yakinifu: Ngono si kipaumbele kwa mwanamke..

    Ukisimamia show vizuri mbona utatafutwa kila siku mzee.
  7. K

    Naomba kufahamu

    Habari Wakuu!! Nacte imeeshaanza kutoa transcript kwa wahitimu wa mwaka 2018 ambao walimaliza mwaka jana mwezi wa kumi 2018. Ahsanteni.
  8. K

    Wasichana wenye tabia zifuatazo huwa wanazalishwaga na kuachwa

    Mimba ya bahati mbaya ni ya kubakwa tu hizo zingine mwanamke anatega mwisho wa siku apate kitonga akitegemea kupata huduma kirahisi kisa mtoto.
  9. K

    Mwanamke ndio chanzo cha majuto kwa wanaume wengi lakini bado wanaume hatusikii tu.

    Wanawake wanatuzaa mioyo yao mepesi kubadilika badilika alafu wapo karibu sana na dhambi. Mungu awatangulie kwa kweli.
  10. K

    Kibomba cha maji ndiye adui mpya wa mahusiano yetu

    Kwa ubunifu huo punyeto kweli mko vizuri.
  11. K

    Tatizo la masikio: Fahamu kuhusu sehemu za sikio, magonjwa, ushauri na tiba

    kama sikio lingine linasikia vizuri ni bora kuachana na machine. Mi nilishauriwa mapema nkaacha kufuatilia kabisaa.
  12. K

    Tatizo la masikio: Fahamu kuhusu sehemu za sikio, magonjwa, ushauri na tiba

    Hata mimi nina hilo tatizo sikio langu la kushoto halisiki kabisa. Nilienda Regency nikafanyiwa kipimo cha CT Scan nikabainika sina tatizo kabisa ila walinishauri nitumie Ear machine ya kuweka sikion ili inisaidie kusikia.Nilishindwa bei yake kutokana na gharama ambapo Semi digital ni Laki 650...
  13. K

    Nani anaijua dawa ya usingizi zaidi ya valium?

    nisaidie mkuu,bi mkubwa wang halali vizuri ana tatizo la presha hivyo kumpelekea kukosa usingizi hapo awali alikuwa anatumia valium na zilikuwa zinamsaidia.
  14. K

    Nani anaijua dawa ya usingizi zaidi ya valium?

    Habari.! Anayejua dawa ya kupata usingizi tofaut na valium ambazo kwa sasa hazipo tena madukani naomba anisaidie. Shukrani.
  15. K

    Athari za kutokunywa maji ya kutosha mwilini

    Tumia hata matikiti maji mkuu.
Back
Top Bottom