Habari wana Jf!!
Nina Allergy na mavumbi je hii hali naweza nikapata dawa ikaisha kabisa.Huwa napiga chafya mnoo mpaka nahisi joto..huwa natumia piritoni lakini hazini saidii kutuliza hali.
Ahsante.
Habari wana Jf!!
Nina Allergy na mavumbi je hii hali naweza nikapata dawa ikaisha kabisa.Huwa napiga chafya mnoo mpaka nahisi joto..huwa natumia piritoni lakini hazini saidii kutuliza hali.
Ahsante.
Hata mimi nina hilo tatizo sikio langu la kushoto halisiki kabisa. Nilienda Regency nikafanyiwa kipimo cha CT Scan nikabainika sina tatizo kabisa ila walinishauri nitumie Ear machine ya kuweka sikion ili inisaidie kusikia.Nilishindwa bei yake kutokana na gharama ambapo Semi digital ni Laki 650...
nisaidie mkuu,bi mkubwa wang halali vizuri ana tatizo la presha hivyo kumpelekea kukosa usingizi hapo awali alikuwa anatumia valium na zilikuwa zinamsaidia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.