A alifunga ndoa na Am, baada ya miaka mitatu wakafarakana na A kukimbilia kwao Tanga ambako alikutana na mpenzi wake wa zamani Ab wakafunga ndoa bila ya kuvunja ndoa na Am. Am anajua kuwa baada ya A kutoka kwake, A alienda olewa na Ab, na kwa kipindi chote hicho alikaa kimya bila kuchukua hatua...