Recent content by kangaya

  1. kangaya

    Natafuta ajira yoyote!

    sawa!pamoja mkuu...nashukuru
  2. kangaya

    Natafuta ajira yoyote!

    niko tayarii kaka!ni PM
  3. kangaya

    Natafuta ajira yoyote!

    Tuheshimiane tafadhali
  4. kangaya

    Natafuta ajira yoyote!

    unafikiri watu wanaleta utani muda wote?
  5. kangaya

    Natafuta ajira yoyote!

    napatikana Ubungo Dar es Salaam
  6. kangaya

    Natafuta ajira yoyote!

    nilishachaguliwa chuoni tayari...sihitaji nafasi ya chuo tena Ndachuwa
  7. kangaya

    Natafuta ajira yoyote!

    ni PM atakaekuwa na msaada
  8. kangaya

    Natafuta ajira yoyote!

    Mimi ni KE,umri wangu ni miaka 21,ni muhitimu wa kidato cha sita mwaka huu ila sijajiunga na chuo kwa sababu za kukosa mkopo. Natafuta ajira yoyote ile itakayoniongezea kipato. Nina uwezo mzuri sana hasa katika masomo ya Kemia na Hisabati kwa A'level na O'level pia niko vizuri katika IT pia.
  9. kangaya

    Jinsi ya kuondoa madoa na mabaka mwilini

    tumia vipodozi vya Oriflame..hutojutia!tuwasiliane 0655868643
  10. kangaya

    Tatizo la uso kupauka/kubabuka

    Karibu Oriflame...tuna lotion ya "Happy skin" ni nzuri kwa ngozi kavu!utaondoa tatizo lako..tuwasiliane 0655868643
  11. kangaya

    Tatizo la upele Kidevuni: Chanzo na matibabu yake

    Oriflame tunayo tiba...tuwasiliane 0655868643
  12. kangaya

    UDSM selection - Undergraduate 2015/2016 (Batch One)

    nimechaguliwa kozi hiyo mkuu..nakuja pm
  13. kangaya

    Barua za kusitishwa masomo kwa UDSM

    wewe ulikua hauna haja ya kupeleka barua,,barua yako ilishapelekwa TCU na chuo chenyewe na ukafutwa kwenye system na wao wenyewe,,ndo maana ukaweza ku-apply!
  14. kangaya

    Barua za kusitishwa masomo kwa UDSM

    kwa upande wangu niliongea na kiongozi wa DARUSO UDSM akasaidia kuwaambia uongozi wa chuo waweze kuzitoa barua mapema!jana ijumaa zilitoka na niliweza kupeleka TCU.Natumaini mambo yatakuwa vyema!
Back
Top Bottom