Recent content by kang oc

  1. K

    JamiiForums Tanzania Aina ya Biashara ndani ya Wilaya ya Tunduru

    Habari Wakuu, Bila shaka Mungu ametupa uzima hivyo hatuna budi kumshukuru..! Naomba niende moja kwa moja kwenye lengo la kuanzisha uzi huu...... Naomba wajuvi, wenyeji na hata wafanya biashara wazoefu mnisaidie mawazo mbali mbali ya kibiashara ambayo ninaweza kuifanya katika wilaya ya Tunduru...
  2. K

    JamiiForums Tanzania Kujiendeleza kimasomo kazini ni suala linalohitaji kuangaliwa vizuri

    Nisadie hapa mkuu, ni kweli ukirudi shule hulipwi mshahra wako.?
  3. K

    JamiiForums Tanzania Kujiendeleza kimasomo kazini ni suala linalohitaji kuangaliwa vizuri

    Ni kweli inawezekana kutolipwa mshahara kipindi cha masomo?
  4. K

    JamiiForums Tanzania Mtoto wangu mchanga anakohoa na mafua

    Hongera, Ulipata dawa gani za kifua.?.
  5. K

    JamiiForums Tanzania Uzi wa vyakula tu

    😍Nilivyomiss kuku Og,
  6. K

    JamiiForums Tanzania Tuweke ukweli hapa; nini hasa chimbuko la ugomvi wako na jirani yako?

    Shida nikiwa mstaarabu mimi wa upande kulia kwangu atafaidika
  7. K

    JamiiForums Tanzania Tuweke ukweli hapa; nini hasa chimbuko la ugomvi wako na jirani yako?

    Hahah, mimi nataka kutumia advantage ya walio tangulia wamebanana balaa
  8. K

    JamiiForums Tanzania Tuweke ukweli hapa; nini hasa chimbuko la ugomvi wako na jirani yako?

    Kiwanja changu ni cha kati kati, Leo naenda kusogeza mpaka kama mita 4, ni njia imeachwa loose maana wenye viwanja vya juu wameifunga njia,...sijui itakuwaje huko mbeleni..!
  9. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke kufurahia anguko la Mume

    Inaelekea Mkeo hajawahi kukufaidi upatapo pesa
  10. K

    JamiiForums Tanzania Duka gani hapa Dar wanauza pete original

    Nasikia uvaaji wa pete unaendana na Nyota...je ni Kweli?
  11. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Neno gani uliambiwa na mpenzi wako likakuvunja moyo?

    Kwahiyo mlikuja kuachana?
  12. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Neno gani uliambiwa na mpenzi wako likakuvunja moyo?

    Mkuu Ukaribu wako na huyo mwanamke upoje..? je unamhudumia? maana inaonekana kama umemtenga anajihisi mpweke
  13. K

    JamiiForums Tanzania Kwanini nyie watu mnakuwa na dharau? Hunijui, usifanye hivyo

    Sawa kiongozi wamekusikia
Back
Top Bottom