kwa uzoefu wangu mdogo wa masuala ya ajira ... kapuni nyingi au taasisi zinazoheshimika ... haziwezi kukupa 24 hours ujiandae kwa usaili.. ukiona hivyo ujue hizo ni kampuni au vitaasisi vidogo dogo vya uchochoroni.............
i) utakapotolewa manundu utamsumbua mkeo na familia yako hutamuona mwana jf yoyote humu kuja kukujulia hali
ii)hela ambazo ndugu zako watakuja kukuwekea dhamana bora waongeze kwenye tubiashara twao maisha yaendelee
iii) Utakapokuwa unasota rumande huku mtaani maisha yataendelea kama...
Watu wengine humu mnachochea watu na vi ID vyenu fake, at the end of the day mtakuwa mmelala nyumbani na wake zenu sept 1. its better kila mtu atafakari kwa makini yeye mwenyewe but asishiriki maandamano kwa influence za watu humu ndani........kwani utakapokuwa unauguza majeraha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.