Mfano mm nimeajiriwa kwenye halmashauri x kwa level ya diploma lakini diploma yenyewe haiendani hata na kazi ninayoifanya kwa sasa Bado cjasibitishwa kazini ila Nina degree pia ya fani hiyohiyo je mnanishaurije nirudi nipambane na ajira portal kwa level ya degree au nitafute taasisi ya kuhamia...
Ni muda mrefu nimekua nahitaji kwenda Botswana au Namibia nikatafute maisha, ila kikwazo nackia jamaa wanataka uwe na mtu ambaye utafikia kwake. Sasa nitafanyaje ili nifike gaborone? Nilipomaliza diploma ya electrical engineering nilipata kazi, nikafanya ndani ya mwaka mmoja nikaacha nikarudi...
Nina Umri wa miaka 27 nina diploma ya Electrical Engineering na sasa hvi nipo mwaka wa mwisho nasoma degree ya Electrical Engineering. Kwa kifupi hapa bongo mfumo wa ajira za uhakika with high paying scale ni ngumu sana kuzipata. Nimesikia nchi hizi mbili za Botswana, Namibia na Angola bado wana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.