Recent content by kancarl

  1. kancarl

    JamiiForums Tanzania Msikilizeni huyu mzee wa CUF naye kavurugwa, hata hajui anasema nini

    mwenye baba yake amzimiee kamera anaongea pumba af nahis kaishia la nne
  2. kancarl

    JamiiForums Tanzania Kama Ayatolla Mojtaba hakujitokeza Msibani mlitegemea watu wajitokeze wakutane na Machine?

    Unapambana Sana bro tatzo hujui namna ya kumalzia Chungu chenu alitoka nanauka tu mliobak gudubai
  3. kancarl

    JamiiForums Tanzania She is Changing for Better Akifanya Vema Apongezwe to Encourage her Hotuba Yake Miaka 30 ya TRA is One of The Best! Short Clear & Concise Big Up Sana!

    Mayala wa magufuli na mayala wa samia n mbingu na ardhi Unatafuta uteuz kwa kas sana brother
  4. kancarl

    JamiiForums Tanzania CHADEMA wanahubiri vurugu nchini huku wanataka Katiba Mpya. Haya ni matokeo ya chama kukosa viongozi

    Wamepanic kama demu aliye lengeshwa tundu tofaut
  5. kancarl

    JamiiForums Tanzania Leo nimepata very classified information kutoka Tanzania kuhusiana na kutekwa Kwa Hamphley Polepole

    Sema braza unaisha vibaya i bet bado unasomesha endelea kukusanya ada
  6. kancarl

    JamiiForums Tanzania Mauaji ya kutisha ya Oct29 ni matokeo ya hitilafu ya mfumo

    Point namba 8 9 na 10 ndo wazaz halisi wa matatizo 1mpk 6
  7. kancarl

    JamiiForums Tanzania Watanganyika msinug'unike, Muungano wa Tanganyika na Zanzibar utavunjika wenyewe automatically

    Kwema mkuu Kwa faida ya weng hasa vijana wa kileo tunaomba kujua faida 5 za muungano kuwepo Weka points tu Sina muda wa kusoma walaka
  8. kancarl

    JamiiForums Tanzania Compare & Contrast Marais 6 wa Tanzania on Democracy, Jakaya is The Best!, Apewe Maua Yake!, Samia Pia Ana Fursa To Be The Best!, Je Atakuwa?

    Nilichojifunza gharama ya udc n kubwa mno Nasijui Kama kulpa n rahs
  9. kancarl

    JamiiForums Tanzania Taifa pekee ambalo wananchi wake hawana raha kwa rais wao kuwa madarakani ni Tanzania

    Huo ndo ukwel anao ufahamu na hapend kuuskia kabsa Ndo maana anajificha mbele ya watanganyika Haram n Haram Dhuruma haidumu Kila Deni litalipwa
  10. kancarl

    JamiiForums Tanzania Ustaarabu wa mwanzo Tanzania ulikuwa wapi? Tanganyika au Zanzibar?

    Mjeruman aliona mbali kuwekeza elimu Tanganyika Pengne aliona structure ya vichwa akajua hamna Jambo
  11. kancarl

    JamiiForums Tanzania Muungano Huu Shaghalabaghala: Mzanzibari ni Mtanzania, ila si kila Mtanzania ni Mzanzibari

    Ukipata muda kasome story kilchotokea Korea baada ya kuvunjika
  12. kancarl

    JamiiForums Tanzania Kwa Heri Dar (Mkoani) Karibu Dodoma HQ. Serikali Kuifanya Dodoma kuwa Kitovu Kikuu Cha Uchumi wa Nchi

    Usikute na ww una degree😂😂😂😂 Ya Tanzania
  13. kancarl

    JamiiForums Tanzania Nielimishwe: Je, Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ukivunjika baadhi ya mikoa ya Tanganyika ni himaya halali ya Zanzibar?

    Unachokosea unahisi ngekewa ya nanauka itakutembelea na ww Stupiiii
  14. kancarl

    JamiiForums Tanzania Kaimu Waziri wa afya Zanzibar: Sikusema watu wa bara wasitibiwe

    Bibi wa wa watu kaingiaa upepo Tunatunza Tutakuwepo
Back
Top Bottom