Recent content by Kanani2015

  1. K

    Makonda kumfuata Wema mahabusu nyakati za usiku, hii imekaaje?

    Sio mama wema alitesema bali ni wema mwenyewe,sikiliza vizuri
  2. K

    Utabiri kwa uongozi wa Rais Magufuli

    Msijali tumenunua bombadier na zingine zinakuja
  3. K

    Godwin Mwaipongo mpinzani wa Tundu Lissu TLS, alishawahi kugombea kupitia CCM

    Magu jitokeze usione aibu sema hadharani kuwa uliteleza
  4. K

    Makonda: Awamu ya 3 imekamilika, tukutane ukumbi wa Mwl Nyerere

    Msimlaumu makonda,hivi kwa akili zenu mnadhani mambo yote haya anayafanya kwa kofia ya u RC tu? Hapana ana baraka zote kutoka juu,kumbukeni mwanzoni kabisa wa baraza la mawaziri awamu ya kwanza walitajwa hadharani nakuambiwa kuwa wasirudisha form zao za work ethics & mali walizonazo ndani ya...
  5. K

    Barua yenye Kumb. No. MZR/CID/SCR/105/2011/4 kwa katibu wa Bunge kuomba kumkamata Mbunge wa CCM

    Humu jf tuna watu wengi wenye uelewa mdogo,hiyo barua imewekwa ili muisome jinsi taratibu ya za bunge zinavyotakiwa kufuata kama i avyojieleza kilichofanyika 2011- Hey wake up People
  6. K

    Tusiruhusu kitendo cha yule mama aliyevamia mkutano wa Rais Magufuli

    Alikaguliwa kwanza hakuenda hivihivi ,sijaona hatari yoyote unayozungumzia,jaribu kuangalia maraisi wa nchi zilizo endelea wanapokuwa kwy mikutano kama hii,hili ni jambo la kawaida kabisa,acheni huo ukiritimba wa mawazo
  7. K

    Huyu ndiye Zitto mnayetaka aingie UKAWA?

    Zitto ni agent pure wa ccm ,jiulize swali ndogo dogo inawezekanaje akawatoka polisi kule kahama,haingii akilini hata kidogo ,ana ulinzi kutoka juu
  8. K

    Kufikiria kwamba Uturuki watatoa mkopo nafuu wa Reli kuliko China ni kujidanganya

    Hakukuwa na sababu ya ku tender by lots,ilikuwa jambo jema angepewa mchina tu ufanisi wake unaeleweka na sio mbambaishaji
  9. K

    Uvamizi wa Gambia, umezidi kuipunguzia Afrika heshima nje ya Afrika!

    Mtoa maada ana upeo mdogo sana wa kufikiri,Inasikitisha sana
  10. K

    Siasa za Tanzania na hatima ya elimu! Kilio na majanga!

    Kila sehemu ni majanga tu hakuna palipo baki salama
  11. K

    Nukuu toka kwa Rais Magufuli (QUOTES)

    Wanafunzi wa Udom ni vilaza
  12. K

    China kujenga viwanda 200 vitakavyotoa ajira kwa watu 200,000

    Ni maneno ya kujifurahisha tu,habari yenyewe haina kichwa wa miguu
  13. K

    Lwakatare aomba Bukoba wapunguziwe kodi vifaa vya ujenzi, Magufuli amjibu ajenge kiwanda awapunguzie

    Majibu ya Magufuli ni ya kihuni ,elewa kiwa Lwakatare alikuwa anaomba msaada wa dharura (temporary relief) ,swala kiwanda hiyo ni habari nyingine tofauti kabisa,hata kama muwekezaji atapatikana leo itachukua miaka mwili mpaka mitatu kiwanda kuwa kwy full swing.Ningependa kumshauri Magu ajifunza...
Back
Top Bottom