Too bad hawajaachana tunaishi nyumba moja no communication ..na mama yangu anaendelea kuishi akiamini kuna siku mmbo yatakaa vizuri huku akituhimiza kusoma na kumjua mungu vilivyo
Kwa hiyo unahisi mama yangu ndo mwenye dhambi vipi kuhusu baba alieamua kuzaa watoto ambao alijua kesho hataweza kuwatunza...asante lakini kwa mawazo yako
Pata cheni ya mkeka kwa bei rahisi shilling elfu 35 tu.cheni hizi ndo habari ya mjini necklace, bracelet na heren kwa ajili ya event ,ofisin nk.nicheki kwa namba 0767626990 SMS or call. Free delivery kwa wakazi wa dar na mikoa mingine tunatuma karibuni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.