Kwa hiyo kwa mawazo yenu kwa vile kofia ya CHADEMA imekutwa na watuhumiwa basi nddo chama kinahusika? vip kuhusu hayo magwanda ya jeshi? ndo tuseme pia majeshi yana husika kwa vile tuu magwanda yamekutwa huko?
Jamani mbona mnasahau tabia za magamba kwamba kwao kila kitu ni siri, hivyo hata hiyo inyosemwa siri kubwa itendelea kuwa SIRI kama ilivyo siri kwenye mambo mengi ya nchi hii kama mikataba nk
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.