Recent content by Kanali_

  1. Kanali_

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Unazingua sasa, piga hela mwenyewe mzee mbona unatumia nguvu kubwa hivyo!? Tangaza platform yako kistaarabu, ukipost mara moja au mbili inatosha. Hiki unachofanya ni USHAMBA, badala ya kuvutia watu ndo unaharibu kabisa maana unaonekana HUJITAMBUI.
  2. Kanali_

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hii ni HELA
  3. Kanali_

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Aya, tuchukue Odds 6 za matumaini. Sportybet: 56F2A0
  4. Kanali_

    JamiiForums Tanzania Maria Surungi: Deo Ndejembi ni Mzanzibari, Muislamu, pia ana uraia wa Uingereza

    Ukimuangalia sura tu inajieleza.
  5. Kanali_

    JamiiForums Tanzania TV inch 65 ina mstari kwa 650,000

    Tv yenye mstari 650k!? Amakweli watu wanachanganyikiwa! Yubera wochi yua baki bro!
  6. Kanali_

    JamiiForums Tanzania Morogoro mji kasoro bahari, kwani zamani ilikuwa lazima mji kuwa na bahari

    Kabisa, mkoa wa Morogoro umepoteza umaarufu kwa kasi mno na ni kama umedumaa kimaendeleo!
  7. Kanali_

    JamiiForums Tanzania Amuua mwenzake kisa elf 1000 ya kamali

    Mavuta bange matupu, sura zinajieleza.
  8. Kanali_

    JamiiForums Tanzania FT: Pamba SC 1-2 Simba SC | Ligi ya NBC | CCM Kirumba

    Huyu Doumbia ni TAPELI
  9. Kanali_

    JamiiForums Tanzania FT: Pamba SC 1-2 Simba SC | Ligi ya NBC | CCM Kirumba

    Hii Team sijui imelaaniwa!!!??? Siioni ikifanya lolote la maana msimu huu
  10. Kanali_

    JamiiForums Tanzania Kafulila: Serikali haiwezi kujenga kila kitu, punguzeni kuzaliana, tumieni uzazi wa mpango

    Una mawazo ya kijinga na kipumbavu! Hufai hata kuelimishwa...
  11. Kanali_

    JamiiForums Tanzania Kafulila: Serikali haiwezi kujenga kila kitu, punguzeni kuzaliana, tumieni uzazi wa mpango

    Na hiyo jamii ndo inaongoza kuzaa kama panya!
  12. Kanali_

    JamiiForums Tanzania Kafulila: Serikali haiwezi kujenga kila kitu, punguzeni kuzaliana, tumieni uzazi wa mpango

    Siku pingi, CCM imeivuruga hii nchi ila pia jamii yetu ina upumbavu mwingi. Vijana wenye nguvu wanashinda vijiweni wakijadili mambo ya kipuuzi badala ya kuzalisha! Angalau vijana wanaojitafuta kwenye betting naweza kuwaelewa kidogo kuliko wapuuzi wanaoshinda vijiweni bila issue yoyote wakisukuma...
  13. Kanali_

    JamiiForums Tanzania Kafulila: Serikali haiwezi kujenga kila kitu, punguzeni kuzaliana, tumieni uzazi wa mpango

    Sahihi kabisa, watu wanajifyatulia tu watoto wasio na uwezo wa kuwahudumia! Tunaishi kama watu tusiostaarabika! Ongezeko la watoto wa mitaani ni kiashiria tosha cha janga linalotukabili la uzazi holela.
Back
Top Bottom