Kwa hao Watanzania uliosema unawafahamu, unadhani issue ni status ya waliyokuwa nayo Bongo au malipo bora wanayopata huko US? Ungejua walikuwa wakilipwa kiasi gani Bongo and now wanalipwa kiasi gani US ungekaa kimya. Wenzetu hawaajili makaratasi, wanaajili ujuzi ulionao au uwezo wako wa kufanya...
Unawatangazia wateja hawahawa wa Kingugi, Mbande, Mgeni nani, Buguruni n.k au Kuna soko la nje ya nchi unalotarget? Kama ni hawa wa hapahapa nchini na unawaandikia Kingereza basi sawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.