Recent content by Kanali_

  1. Kanali_

    JamiiForums Tanzania Waogelea Kilomita 2–5 Kutoka Morocco Kuingia Ceuta, Eneo la Hispania

    Kwa hao Watanzania uliosema unawafahamu, unadhani issue ni status ya waliyokuwa nayo Bongo au malipo bora wanayopata huko US? Ungejua walikuwa wakilipwa kiasi gani Bongo and now wanalipwa kiasi gani US ungekaa kimya. Wenzetu hawaajili makaratasi, wanaajili ujuzi ulionao au uwezo wako wa kufanya...
  2. Kanali_

    JamiiForums Tanzania TV sing sung for sale

    Chukua 120k 0759881123
  3. Kanali_

    JamiiForums Tanzania Nauza na kubadilisha 'housing' za Laptop!

    Pananifaa hapa
  4. Kanali_

    JamiiForums Tanzania Forex imenifilisi, nauza monitor yangu 🙏 naombeni msaada wenu

    Si kafirisika, kwani aliyefirisika ni tajiri!? Alafu kuuza monitor screen ni kiashiria kingine cha umasikini wake
  5. Kanali_

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Haina noma mkuu, tunasubiri mioto hiyo saa kumi
  6. Kanali_

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Nakuzingatia sana Mkuu, kuna kitu uko nacho
  7. Kanali_

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Uko Bar!?
  8. Kanali_

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mkuu tufanyie wepesi Code pls
  9. Kanali_

    JamiiForums Tanzania Airtel 5G Router 40,000 tu

    Sasahivi wanauza kwa 100k na wanakupa kifurushi cha 100k so router ni bure
  10. Kanali_

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Monaco ashaleta uchawi huko...
  11. Kanali_

    JamiiForums Tanzania Plot For Sale at Toangoma

    Unawatangazia wateja hawahawa wa Kingugi, Mbande, Mgeni nani, Buguruni n.k au Kuna soko la nje ya nchi unalotarget? Kama ni hawa wa hapahapa nchini na unawaandikia Kingereza basi sawa...
  12. Kanali_

    JamiiForums Tanzania Anahitajika mtaalam wa kuchambua siasa za kimataifa

    Wengi wanataka uwe upande wa Iran maana ndo majinga mengi (Kobazi) yalipo so katika uchambuzi wako egemea huko
  13. Kanali_

    JamiiForums Tanzania Chaji Aina ya Infinix Type C inauzwa

    CCM imetufikisha pabaya mno aisee!!! Inasikitisha sana.
  14. Kanali_

    JamiiForums Tanzania Airtel 5G Router 40,000 tu

    100k wanakupa na kifurushi cha 100k pia so router ni bure
Back
Top Bottom