Sass unakuta muafricano mzuri kushinda hata huyu utavaa condom SIKU ya kwanza SIKU inayofuata unaacha nimeona madem wazuri Kama hao lakin wana ngoma mkuu
Habali zenu wakuu Mimi bado nipo nakomaa na maisha ya huku bondeni japo magumu nayajua mwenyewe, ninachotaka kuwashitua wakuu ni kwamba hapa south watu wana UKIMWI sijawai kuona watu wameathilika Kama miji ya hapa bondeni, nimepima na wanawake 6 ili niwe nao kimapenzi cha ajabu wale 5 wana ngoma...
Habali wakuu nimeleta Uzi unaosimama upende sahihi WA wake zetu sisi wanaume, sina shida na wapenzi nasema na walio ktk ndoa, wanaume sisi sio waaminifu kabsa mwanaume tumekua wasaliti sana, tufikilie maumivu tunayo yapata sisi tukisalitiwa hata wao huumia hivohivo, naomba tubadilike wana ndoa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.