Mwisho mwa wiki iliyopita Yanga SC walitoka suluhu ya 1-1 dhidi ya Al Hilal ya Sudan, kwenye dimba la Mkapa. Matokeo hayo yameibua maneno mengi sana mitandaoni ikionekana kama vile Yanga SC ameshatolewa katika kinyang'anyiro hicho cha Klabu Bingwa Afrika kuelelekea hatua ya makundi.
Ukiangalia...
Babu yangu amenisimulia kuhusu athari zinazotokana na kupuuza mambo au kuchukulia "poa" kila kitu. Kupitia simulizi hii nataka nawe ujifunze, na ikibidi ikufanye kuwa mpya kabisa.
Bwana mmoja alikuwa mgonjwa sana ICU akipumua kwa msaada wa mashine maalumu ya kupumulia- oxygen machine. Muda wote...
Watu wana roho mbaya sana kaka. Mtu yupo radhi anunue pombe anywe na kimada kuliko kusaidia wasiojiweza. Kuna shida gani kumpa 1,000 au hata 5,000 kayika mamilioni ukiyonayo?!
Ubarikiwe sana mkuu.
Daaah. DEMI unanichosha cos hajasome nichoandika. Tambua hao vijana wala hawakulazimishi kuwalipa.
Je umewahi pita sehem njia imeharobika then kuna vijana wanaijenga huku wakikusanya mia mia kwa walitaji?! Kwao wao ukiwapa ni sawa, na hata usipowapa bado ni sawa tu. Iko hivyo hata kwa hao madogo.
Hoja yangu ni ugumu wa kazi anayofanya dogo. Mazingira ya kazi yenyewe. Hali yake ya kimaisha, lkn bado kuna watu walimpita bila kumpa hata 100 wakati mfukoni wana zaidi milioni moja. Hiyo ndio hoja yangu.
Ni sawa sawa na kutoa sadaka, ukiwa nacho unatoa. Na hata usipotoa hakuna wa kukulaumu...
Kuna wakati pesa inaweza kutafsiri thamanibya kile unachofanya. Waafrika tunapenda sana mseleleko, mtu akufanyie kazi kubwa then umlipe kidogo. Kwa dogo ni wazi aliona Mzungu amethamini kazi yake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.