Ukijua kumnyoshea mtu kidole basi uwe makini vilivyobaki havikupoint wewe!
Avunje ukimya alikanushe hili na ya nyuma ili Athibitishe (Integrity) uadilifu wake
Hata Nchi za Ulaya zinategemea Bidhaa nyingi toka China! Wao wanatengeneza kitu kufuatana na kipato cha nchi husika,hivyo sio kweli kwamba China wanazalisha vitu feki
Arts subjects are Subsets of Science,Nina mfano hai kuna jamaa yangu alipata div 3 ya Pcm O'level alipoenda A'level na HKL alipata div 1 ya point 7, Je wa angekuwa wa arts o level angeweza Ku perform hivyo kwenye Sayansi A'level? Tuache ubishi usio kuwa na maana Mkubwa akikomba mboga hasemwi...
Hawa jamaa ubunifu ni moja ya vipaji vyao,Na ukiona ameamua kuliweka wazi hili ujue na mikakati mipya (Advanced strategies) imeishaandaliwa Kwa ajili ya maboresho ya unyonyaji,Hawa wazungu hawazitakii mema kabisa nchi maskini hasa za Kiafrika na Kiarabu!!
Nadhani mtoa post kamanisha kuwa mheshimiwa kamaliza kidato cha iv Kwa kuunga unga!! Tatizo hapa ni maslahi binafsi ndio maana walioshiba hawawakumbuki wenye njaa!!
Ni kweli kabisa uchaguzi wa Zanzibar sio suala La Muungano,Kwa nini majeshi ya Tanganyika yanaenda kusimamia uchaguzi Zenji? Naomba ufafanuzi kwa anaejua juu ya hili
Ni vema kujua kwanza maana ya furaha,na pengine vyanzo vyake! Mwisho wa siku unaweza kuona 80% hawana furaha hivyo ndivyo tafiti zinavyofanyika,Hivyo usije ukaona wenye furaha 20% ukasema tafiti zinatuonea!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.