Recent content by kamwamu

  1. K

    Godbless Lema: Nilimpigia Kikwete baada ya Magufuli kuondoka, nilimwambia aongee na Mama nataka kurudi

    Akutukanaye hakuchagulii tusi. Lema yawezekana alikuwa na ufahamiano na Kikwete, lakini kuomba msamaha kupitia kwake limezusha balaa.
  2. K

    Msaidizi alipotukanwa na mwenye nyumba kwenye veranda, mmiliki wa awali akamwambia tu namaliza mchezo kuwa mvumilivu. 8/100

    Mchunguzi wa tetesi, kuna taarifa ya miaka mingi kuwa mdada mfanyakazi wa ubalozi ughaibuni alipewa saa 24 kuondoka nchi hiyo kwa kashfa ya ngono. Naomba uifañyie uchunguzi.
  3. K

    Naomba CV ya Abdul mtoto wa Rais Samia

    Baada ya kuwa busy mentally, emotionally and psychologically, unahitaji leisure time, ku relax. Ndipo watu huweza kuandika upuuzi uuonao mitandaoni. Bila hivyo utakuwa kilema wa akili.
  4. K

    Hope is fading away

    kati ya mambo atakayo yakumbuka mwambukusi maishani mwake ni muda aliopoteza kuongea na samia, jambo historia itamkumbuka kwa ushauri aliotoa. Ilipofika saa 6 usiku bila tamko lolote kuhusu aliowasilisha zaidi ya maandalizi ya uzinduzi wa kampeni nilijua imetoka.
  5. K

    Ukipita kwenye Page ya Mange Instagram ndio utaona ni kwa namna gani Tz inatafunwa

    Tuko busy na story za mpira, celebretes, kubeti na udaku. Yameandaliwa makusudi kuchukua muda wa kujadili mambo ya msingi, japo nayo yana kinga. Ukijadili mambo yao ya ufisadi utapambana na sheria za matumizi mabaya ya mitandao, kutekwa au kuunganishwa na kesi za uhaini.
  6. K

    Huenda Polepole ndiye kijana mTanzania wa hovyo zaidi na aliechafua zaidi taswira ya vijana katika utumishi wa umma tangu tupate uhuru

    Usiwasemee vijana, hawajakutuma. Polepole si kijana ni mtu mzima, amejitoa kwenye unafiki na kueleza ukweli. Hayo ni kutoka za ndani alimokuwa. Na wengi bado wamo wanaumia rohoni wakishindwa kujitoa mhanga wakihofia kifo au kàzi. Mfumo unafumba watu midomo, wakiruhusu uhuru wa kutoa mawazo kina...
  7. K

    Bila Magufuli kuwa Rais wa Tanzania haya yasingewezekana kutokea ndani ya kizazi chetu

    Imani bila kuwaza imepitwa na wakati. Unaposema kila binadamu, si kweli. Wanaozaliwa na kuishi kwa muda mfupi ( dakika au masaa) na kufa huwa wametimiza lipi?
  8. K

    Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

    Katika utawala wa awamu ya kwanza ya mh Samia amezikumbuka sekta nyingi kasoro watumiaji wa umeme mdogo. Awali walikuwa wakilipa sh 9150 kwa unit 75 na baadae ikawa sh 10650 , ongezeko la kodi ya jengo. Unit 75 zinawatesa wakuu wa kaya. Ni ugomvi na kuilazimisha kaya kuzima taa muda mwingi...
  9. K

    Morocco Yaingia Fainali CHAN, Niliwaambia Tanzania Haikuonewa Mkanitukana

    Kweli akutukanae hakuchagulii tusi.
  10. K

    Zifahamu baadhi ya comeback maarufu katika ulimwemgu wa soka

    Hii ni ya muda mrefu, sijasikia kuvunjwa au kufikiwa.
  11. K

    GE2025 Majina haya ya Wabunge waliokatwa kwa visasi

    Umesahau kipengele cha kugombea wanaume kimapenzi.
  12. K

    CCM Wanahitaji Mabadiliko Kuliko Chama Chochote Tanzania

    Kukatwa kwa majinà ya baadhi ya walio ongoza majimbo ni si kupuuza maoni ya wajumbe, ni matokeo rushwa ya wazi iliotumika. Walisahau ukiiga kunya kwa tembo utakati msamba. Walipo ona mama kusambaza piki piki na baisikeli takukuru na tume ya uchaguzi wamekaa kimya nao wakaona ni ruksa. Huko...
  13. K

    Rais Samia nakushauri kesho kawatembelee Taifa Stars kambini kwao

    Sio sahihi, akifuata ushauri wako probability kubwa ni timu kuvurugika. Nyota yake kipindi hiki ipo gizani.
  14. K

    Polepole amuache Samia naye atembelee V8. Kila mtu na wakati wake

    Falsafa ya huyo mtu si sahihi, ni kulea uharifu. Heri ya kila mtu atabeba mzigo wake. Kuna uhuni mwingi umefanywa na watu wapo huru tena na nyadhifa kubwa wakati walistahili kuwa magerezani.
Back
Top Bottom