Mchunguzi wa tetesi, kuna taarifa ya miaka mingi kuwa mdada mfanyakazi wa ubalozi ughaibuni alipewa saa 24 kuondoka nchi hiyo kwa kashfa ya ngono. Naomba uifañyie uchunguzi.
Baada ya kuwa busy mentally, emotionally and psychologically, unahitaji leisure time, ku relax. Ndipo watu huweza kuandika upuuzi uuonao mitandaoni. Bila hivyo utakuwa kilema wa akili.
kati ya mambo atakayo yakumbuka mwambukusi maishani mwake ni muda aliopoteza kuongea na samia, jambo historia itamkumbuka kwa ushauri aliotoa. Ilipofika saa 6 usiku bila tamko lolote kuhusu aliowasilisha zaidi ya maandalizi ya uzinduzi wa kampeni nilijua imetoka.
Tuko busy na story za mpira, celebretes, kubeti na udaku. Yameandaliwa makusudi kuchukua muda wa kujadili mambo ya msingi, japo nayo yana kinga. Ukijadili mambo yao ya ufisadi utapambana na sheria za matumizi mabaya ya mitandao, kutekwa au kuunganishwa na kesi za uhaini.
Usiwasemee vijana, hawajakutuma. Polepole si kijana ni mtu mzima, amejitoa kwenye unafiki na kueleza ukweli. Hayo ni kutoka za ndani alimokuwa. Na wengi bado wamo wanaumia rohoni wakishindwa kujitoa mhanga wakihofia kifo au kàzi. Mfumo unafumba watu midomo, wakiruhusu uhuru wa kutoa mawazo kina...
Imani bila kuwaza imepitwa na wakati. Unaposema kila binadamu, si kweli. Wanaozaliwa na kuishi kwa muda mfupi ( dakika au masaa) na kufa huwa wametimiza lipi?
Katika utawala wa awamu ya kwanza ya mh Samia amezikumbuka sekta nyingi kasoro watumiaji wa umeme mdogo. Awali walikuwa wakilipa sh 9150 kwa unit 75 na baadae ikawa sh 10650 , ongezeko la kodi ya jengo. Unit 75 zinawatesa wakuu wa kaya. Ni ugomvi na kuilazimisha kaya kuzima taa muda mwingi...
Kukatwa kwa majinà ya baadhi ya walio ongoza majimbo ni si kupuuza maoni ya wajumbe, ni matokeo rushwa ya wazi iliotumika. Walisahau ukiiga kunya kwa tembo utakati msamba. Walipo ona mama kusambaza piki piki na baisikeli takukuru na tume ya uchaguzi wamekaa kimya nao wakaona ni ruksa. Huko...
Falsafa ya huyo mtu si sahihi, ni kulea uharifu. Heri ya kila mtu atabeba mzigo wake. Kuna uhuni mwingi umefanywa na watu wapo huru tena na nyadhifa kubwa wakati walistahili kuwa magerezani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.