Duh!! Kumbe amekumbwa na tabia ya utapeli? Inawezekana alijipeleka kwenye Ukristo ili kuvuna kitu ambacho kwa bahati mbaya kimekosekana.
Ila Skendo za utapeli kumhusu zimevuma sana kwa kweli, na pia kwa mtazamo wangu amepoteza mvuto kwenye nyimbo za Injili.
Rudi tu Mama ulikotoka sasa sijui...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.