Profesa ntare nkobe
JF-Expert Member
- Feb 5, 2018
- 6,957
- 8,073
Pamoja na hayo nitaendelea kunywa bia zao labda wafunge viwanda vyao huo uchafu unaongeza ladha bia inakuwa tamu sana
Kwakuwa umesema wewe,.naweza kuamini.Acheni ubishi tbl wanafeli sana siku hizi..
Bia zao standard ipo chini sana,
Chupa zinapiga kutu sana kwenye mifuniko..
Na uchafu tulishakuta mara kibao.
Ila siiachi kunywa safari
Kwa hyo ndio unataka kusema yule mende aliingizwa kule kiwandani.Acheni ubishi tbl wanafeli sana siku hizi..
Bia zao standard ipo chini sana,
Chupa zinapiga kutu sana kwenye mifuniko..
Na uchafu tulishakuta mara kibao.
Ila siiachi kunywa safari
Uchafu kama mende si rahisi..ila tulishakuta punje ya muhindi,kifuniko kilichokunjwa na kuingizwa ndani pia tulishakuta...mda mwingine chupa zikirudishwa zinaweza kuwa na uchafu ndani,na kwenye kuoshwa zisioshwe vizuriKwa hyo ndio unataka kusema yule mende aliingizwa kule kiwandani.
Mbona hiyo chupa haina kizibo?
Mfano pale wanapochambua chupa kwa ajili ya kwenda kusafishwa..chupa yenya mfuniko ndani ikisahaulika ikaingia basi hata isafishwe vip namashine ule mfuniko hautoki ndani mule..Kwakuwa umesema wewe,.naweza kuamini.
Kwa mjibu wa mtoa taarifa na uhakika wa sauti kutoka kwa viongoiz wa TBL, ni kwamba waliichukua chupa hii na kuichunguza wakabaini haijafunguliwa hivyo ukisema umewekwa na mtu huku chupa imefungwa utakuwa haufahamu unachokiongea.
Pole wengine hatutumwi kiongozi
Kwamba bia ni transparent auBia hii ya kampuni ya TBL ikiwa na uchafu ndani yake
Hii ni moja ya bia inayozalishwa na TBL ikionekana kuwa na uchafu ndani yake huku ikiwa sokoni kabisa.
Kampuni hii bia zao zimekuwa na kasoro nyingi hususani kukutwa na Watu uchafu mara kwa mara na hii ni moja ya chupa ambazo zinadaiwa uchafu.
Mamlaka zinazohusika ni bora zikaanza kufanya uchunguzi mapema kabla madhara hayajapatikana kwa wanywaji.
Kwa taarifa za ndani watu hawa nasikia wanaviburi Sana wakiambiwa kuhusu mambo kama haya, nina Imani kwa serikali hii itachukua hatua kwani kupitia ushahidi huu inatosha kuwachukulia hatua.
Roho ya korosho
Pole kama umeachishwa kazi na TBL
Chuki na kinyongo sio suluhisho
Huwezi kuharibu biashara inayoingiza kodi ukasikilizwa wewe ongelea mambo ya siasa hasa Chadema na ccm
Mambo ya biashara yana wenyewe
Umeweka uchafu mwenyewe ili kumuharibia aliyekutimua kazi hapo TBL umefail
Uongo huo uchafu uko juu ya meza.
Ni ngumu sana uchafu kupita kwenye distillery ni 0.000000001 %
niliwahi kukutana na mswaki ndani ya soda aina ya tangawizi kampuni ya coca mwanza
Kwakuwa umesema wewe,.naweza kuamini.
Uchafu kama mende si rahisi..ila tulishakuta punje ya muhindi,kifuniko kilichokunjwa na kuingizwa ndani pia tulishakuta...mda mwingine chupa zikirudishwa zinaweza kuwa na uchafu ndani,na kwenye kuoshwa zisioshwe vizuri
Hicho kitu hakiwezekani miaka 100.Uchafu kama mende si rahisi..ila tulishakuta punje ya muhindi,kifuniko kilichokunjwa na kuingizwa ndani pia tulishakuta...mda mwingine chupa zikirudishwa zinaweza kuwa na uchafu ndani,na kwenye kuoshwa zisioshwe vizuri
Uliza kwanza wewe.Mfano pale wanapochambua chupa kwa ajili ya kwenda kusafishwa..chupa yenya mfuniko ndani ikisahaulika ikaingia basi hata isafishwe vip namashine ule mfuniko hautoki ndani mule..
Kaizen inaingiaje hapo !! anyway hongereni kwa TPM na 5S.Kuna siku ata kwako au kwenu chakula kinaungua kidogo au chumvi inazidi kidogo..kitu cha msingi ni kushughulikia tatizo ndani ya muda na kupunguza uwezekano wa kijirudia..mambo ya Kaizen yanawahusu
Sijui nimewaza tu kwa kuwa ni Kiwanda huenda maeneo ya uzalishaji yana changamoto .Kaizen inaingiaje hapo !! anyway hongereni kwa TPM na 5S.