Asanteni sana kwa uzi huu mzuri, mimi pia nina jambo la kuuliza, nilitakiwa kupata siku zangu tarehe 29 mwezi wa 12 Lakin mpaka sasa bado. Mwili unachoka, viungo vinauma, tumbo na kiuno vinauma pia , lakini nimeenda hospital nikakuta sina mimba, nimepiga hadi ultra sijaona kitu, tatizo litakuwa...