Nyamsusa JB
JF-Expert Member
- Jul 9, 2015
- 568
- 1,562
Ndugu zangu wapendwa!
Leo ni siku yangu ya kutangaza rasimi kukaza hukumu yangu juu ya CCM (Chama Cha Mapinduzi).
Hii ni baada ya kusikiliza hoja nzito tena kwa umakini mkubwa kutoka pande zote mbili yaani CCM na Upinzani wakiongozwa na UKAWA.
Nimebaini na imethibitika CCM haiwezi kuniletea Mabadiliko ninayoyatarajia na pia baada ya kulizishwa na Sera za UKAWA sasa napenda kutoa hukumu yangu kama ifuatavyo:-
1. Ngazi ya Udiwani nitawapa CCM.
Nitampa kura yangu mgombea wa CCM kwa sababu huyu jamaa ni CCM lakini matendo yake ni ya Ki UKAWA UKAWA na pia kwa muda aliokuwepo kama Diwani ametusaidia kutatua kero zetu nyingi. Kingine hata yeye anatusapoti sisi UKAWA kwa background, na ninajua wapo wana CCM wengi wanatusapoti lakini hawapendi kujionyesha.
2. Ngazi ya Ubunge nitawapa UKAWA
Nafasi ya Ubunge nitawapa UKAWA kupitia Chadema, hii naifanya makusudi ili kubadilisha Bunge la Ndioo Ndioooo kwa kila jambo bila kujadili hoja kwa kina na umakini.
3. Ngazi ya Urais nitampa Lowassa wa Chadema kuwakilisha Ukawa.
Hapa sasa ndio silembi mwandiko kabisa, na hii ni mahususi kuiadhibu CCM wawe na adabu na Mali ya Umma na pia kuwathibitishia mimi Mtanzania sio Mpumbavu ila ni mvumilivu tu na wasichukulie uvumilivu wetu kua sisi ni Malofa.
Hukumu hii CCM wataaanza kuitekeleza hapo Juma Pili ya tarehe 25 mwaka huu na itadumu kwa miaka mitano.
Hii ndio Hukumu yangu.
Leo ni siku yangu ya kutangaza rasimi kukaza hukumu yangu juu ya CCM (Chama Cha Mapinduzi).
Hii ni baada ya kusikiliza hoja nzito tena kwa umakini mkubwa kutoka pande zote mbili yaani CCM na Upinzani wakiongozwa na UKAWA.
Nimebaini na imethibitika CCM haiwezi kuniletea Mabadiliko ninayoyatarajia na pia baada ya kulizishwa na Sera za UKAWA sasa napenda kutoa hukumu yangu kama ifuatavyo:-
1. Ngazi ya Udiwani nitawapa CCM.
Nitampa kura yangu mgombea wa CCM kwa sababu huyu jamaa ni CCM lakini matendo yake ni ya Ki UKAWA UKAWA na pia kwa muda aliokuwepo kama Diwani ametusaidia kutatua kero zetu nyingi. Kingine hata yeye anatusapoti sisi UKAWA kwa background, na ninajua wapo wana CCM wengi wanatusapoti lakini hawapendi kujionyesha.
2. Ngazi ya Ubunge nitawapa UKAWA
Nafasi ya Ubunge nitawapa UKAWA kupitia Chadema, hii naifanya makusudi ili kubadilisha Bunge la Ndioo Ndioooo kwa kila jambo bila kujadili hoja kwa kina na umakini.
3. Ngazi ya Urais nitampa Lowassa wa Chadema kuwakilisha Ukawa.
Hapa sasa ndio silembi mwandiko kabisa, na hii ni mahususi kuiadhibu CCM wawe na adabu na Mali ya Umma na pia kuwathibitishia mimi Mtanzania sio Mpumbavu ila ni mvumilivu tu na wasichukulie uvumilivu wetu kua sisi ni Malofa.
Hukumu hii CCM wataaanza kuitekeleza hapo Juma Pili ya tarehe 25 mwaka huu na itadumu kwa miaka mitano.
Hii ndio Hukumu yangu.