Recent content by Kampande

  1. K

    Face to face with the devil

    Hivi hizi parts zinazofuata bado hazijakamilika mkuu Mshana jr
  2. K

    Face to face with the devil

    Ntaifiatilia mpaka mwisho hii.....nasubiri mkuu Mshana jr...hapa tayar nimesubscribe
  3. K

    Nini kimemsibu Anne Kilango?

    Nadhan tatizo bado lipo kwetu sisi wapiga kura hasa wa vijijini kusikokua na TV....mama Kilango alikua mpambanaji lkn wa kwenye tv sio Same....nadhan Same walihitaji madaraja, maji, barabara, shule na mengineyo ikiwamo kutumika pamoja ktk shughuli za maendeleo ya wananchi. Ni kama ilivyokua kwa...
  4. K

    Uwaziri Mkuu: Nina mashaka kuna watu wamenunuliwa humu JamiiForums

    Chondechonde tu....wale wajomba zetu na wadogo zetu wenye tatizo la ngozi wasipungue tafadhalini....hamchelewi nyinyi
  5. K

    Ahsanteni Kilimanjaro, Dar es Salaam na Arusha!

    Hapana mkuu...ukombozi unaendelea....hata Yesu alikuja kwa ajili ya watu wenye dhambi sio watakatifu. Ni kazi yetu kuendelea kuwaelimisha juu ya madhira makubwa yaliyosababishwa ccm ili baadae waelewe na hatimaye kuupata ukombozi wa kweli
  6. K

    Internet Download Manager

    kituyegeoffrey@yahoo.com
  7. K

    Hongera Watanzania kwa kujitokeza kwa wingi kupiga kura

    Imekuumaee baada ya kuona kura ya mabadiliko........#nabado
  8. K

    Dar es Salaam - Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia

    Lugalo jeshini shule ya msingi Mirambo hali ni shwari kabisa.....tunachinja tu
  9. K

    Hatimaye mama Maria Nyerere ampigia kampeni Magufuli

    Ni dalili pia za kuishiwa kuishiwa....hivi wameshindwa kumheshimu mama wa Taifa hadi kuanza kutumia katika siasa! Huwez kutembelea nyota ya mwenzio na mama Maria sio Nyerere na wala Nyerere hajaacha amekabidhi hekima zake kwake...na genetically ni watu TOFAUTI kabisa. Rai yangu ni kuwa...
  10. K

    Dr. Eve Hawa Sinare atangaza Kuhama CCM

    Ni Lowassa huyu mnayemnanga kuwa ni mgonjwa ndo leo mmembebesha zigo hili la kuwa ni girl friend au (hawala)...kweli mnatokwa na povu aseeee!!!!!!
  11. K

    Mkuu wa Majeshi, Davis Mwamunyange kuwasili nchini 16th Oct, baada ya ziara nje ya nchi

    Nimecheka sana mkuu hiko kipande cha "alipokataa wakamshika................."
  12. K

    Mkuu wa Majeshi, Davis Mwamunyange kuwasili nchini 16th Oct, baada ya ziara nje ya nchi

    As received:The main points taken from the meeting are listed below; 1) All new UN employees must be deployed to Tanzania by 22nd October. After this date no new staff will be allowed to fly into areas outside of Dar es salaam. Moreover, will be expected to remain in Dar until 31st) day after...
  13. K

    Balozi Juma Mwapachu arudisha kadi ya TANU na CCM, kwenye ofisi za CCM

    Huyu mpokeaji (katibu wa chama) nahis hata hiyo KOFIA kaichukua tu ndani ya mtoto wa meza ili kupigia picha na muheahimiwa ila haonekani kama alikua kajiandaa kufanya kazi ofisi ya chama huyu jamaa
  14. K

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Vega 6 nauza 220000/= check me via 0714132525
  15. K

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Mkuu unauza au unatafita mwenye vega 6?
Back
Top Bottom