Nadhan tatizo bado lipo kwetu sisi wapiga kura hasa wa vijijini kusikokua na TV....mama Kilango alikua mpambanaji lkn wa kwenye tv sio Same....nadhan Same walihitaji madaraja, maji, barabara, shule na mengineyo ikiwamo kutumika pamoja ktk shughuli za maendeleo ya wananchi. Ni kama ilivyokua kwa...
Hapana mkuu...ukombozi unaendelea....hata Yesu alikuja kwa ajili ya watu wenye dhambi sio watakatifu. Ni kazi yetu kuendelea kuwaelimisha juu ya madhira makubwa yaliyosababishwa ccm ili baadae waelewe na hatimaye kuupata ukombozi wa kweli
Ni dalili pia za kuishiwa kuishiwa....hivi wameshindwa kumheshimu mama wa Taifa hadi kuanza kutumia katika siasa! Huwez kutembelea nyota ya mwenzio na mama Maria sio Nyerere na wala Nyerere hajaacha amekabidhi hekima zake kwake...na genetically ni watu TOFAUTI kabisa. Rai yangu ni kuwa...
As received:The main points taken from the meeting are listed below;
1) All new UN employees must be deployed to Tanzania by 22nd October. After this date no new staff will be allowed to fly into areas outside of Dar es salaam. Moreover, will be expected to remain in Dar until 31st) day after...
Huyu mpokeaji (katibu wa chama) nahis hata hiyo KOFIA kaichukua tu ndani ya mtoto wa meza ili kupigia picha na muheahimiwa ila haonekani kama alikua kajiandaa kufanya kazi ofisi ya chama huyu jamaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.