Hapana sio Wakenya bali ni vijana wazaliwa wa palepale na polisi wanawajua. Rombo ni wilaya yenye hali mbaya sana kiusalama. Polisi, majambazi, wauza bangi na gongo ni timu moja. Raia hawapati usingizi.
Ni kweli kabisa. Kijiji cha Manda Chini kuna genge la waporaji na wauza gongo lakini cha ajabu polisi wa kituo cha Mengwe wanachukua salio na kuwajulisha taarifa zote wanazopata kutoka kwa wasamaria wema na wahanga wa matukio husika. Matokeo yake wananchi wanaogopa kutoa taarifa polisi pindi...
Tatizo ni polisi wanashirikiana nao. Huwezi kuamini ni Tanzania ya Magufuli. Ukiwa Rombo unaishi kama uko Sudan Kusini. Ikifika sa 12 unawahi nyumbani.
Cha ajabu OCD anazo taarifa lakini anafanya siasa. Anafanya mikutano ya hadhara na wananchi na kutoa namba za simu badala ya kukamata wahalifu na kufukuza askari wezi wa kituo cha Mengwe.
Wakati Mheshimiwa Rais Magufuli akipigania maendeleo na kufanikiwa kuiingiza Tanzania kwenye uchumi wa kati kabla ya muda uliokuwa ukitarajiwa, jeshi la polisi wilayani Rombo limeendelea kulea na kushirikiana na wezi, wauza gongo, wauza bangi na wakabaji hali iliyosababisha wananchi wa vijiji...
Kama wewe ni mfurukutwa wa dini za shetani nenda kaiombe serikali imsamehe na si wakristo. Huyo amesababisha mauaji lazima mkono wa sheria uhangaike nae.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.