Aisee bwashee hii kitu ina mambo mengi kweli kweli! Wakati mwingine ni wafanya biashara wenyewe ndio wanashawishi haya mambo wakidhani ni kukomboa wakati kumbe ndio wanaharibu na kujiharibia kabsaa! Haya! Kwa upande wa viongozi nao kuanzia ngazi za juu(sio wa TRA tu, serikali yote)ambao...
Halafu wajenga FRAME wenyewe kiasi kikubwa inaonekana hawana walau hata kaujuzi kadogo ka biashara, wanajijengea ilimradi tu pasipo kujua kwamba Uchumi wa Frame unaendana na location pia!😥
Mkuu usichukulie kwamba tunayasema haya pengine kwa sababu hatupendi majimbo ikiwemo mbeya mjini igawanywe! La hasha!
Kumbuka wanasiasa hawayapendekezi haya kwa sababu wana nia ya dhati ya kuwahudumia wananchi, hapana! Lengo ni kulinda maslahi yao tu wala si vinginevyo.
Hao wabunge wa dsm...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.